Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kikihboy [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Kama ulikuwa hujui hii ndo lami sasa,sio ile ya brown kakamega
Huwa wanapaka dudu killer mkuu[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1587067196962.jpeg
 
Mmmmm!!lkn mw sasa itabidi serekali imetumia nguvu ili msiumie.. manake watanzania nao kwa kupangiwa bei na serekali hamajambo
Nchi zote zenye akili huwa zinapanga bei kusaidia baadhi ya masoko, au mpaka usikie wazungu wakisema "subsidies" ndo utaona sawa?
 
Nchi zote zenye akili huwa zinapanga bei kusaidia baadhi ya masoko, au mpaka usikie wazungu wakisema "subsidies" ndo utaona sawa?
Hahaaa!!akili za kijamaa hzo, wala huwezi kuta nchi zinazojielewa eti mnaekewa bei elekezi..
Kwn hakuna wakulima sacco, wafanyibiashara pia hawanaga chama chao..

Nakumbuka yule waziri wenu aliposema mkulima alime yeye, kila kitu amejisimamia yeye halafu uje umuwekee bei elekezi kisa kw minajili ya ujamaa..hyo itakua ni kuumizana tu walai..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hzo ndiyo barabara zao ni very low quality huwa wanapigwa na wakandarasi ktk kila project mwishowe wanakuwa watu wa kupaka rangi barabara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] (usizani ni utani hiyo ndiyo hali halisi ya kenya)[emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]View attachment 1420988
Yani jamaa hana ufahamu km huo ni mtambo wa nn, yeye bado anabweteka tu[emoji1787][emoji1787]
Kaa ukiuliza wakati mwngine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa!!akili za kijamaa hzo, wala huwezi kuta nchi zinazojielewa eti mnaekewa bei elekezi..
Kwn hakuna wakulima sacco, wafanyibiashara pia hawanaga chama chao..

Nakumbuka yule waziri wenu aliposema mkulima alime yeye, kila kitu amejisimamia yeye halafu uje umuwekee bei elekezi kisa kw minajili ya ujamaa..hyo itakua ni kuumizana tu walai..



Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu wote wanafanya hivyo kwenye biashara za mazao, sasa sijui nyinyi mnashindwa wapi.
 
Back
Top Bottom