Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haishindikani, tatizo kuna wafanyabiashara wachache waliokuwa wameishika biashara hiyo, wakiagiza sukari ya nje. Walifanya hujuma kuzuia uzalishaji wa ndani usifanikiwe.

Magu alivyoingia alitengeneza mazingira mazuri ya uzalishaji sukari wa ndani. Nakumbuka alimwomba Bakhresa awekeze kwenye biashara hiyo na kumpa eneo kubwa la kulima miwa.
Sukari sai mnanua tsh4500[emoji1787][emoji1787]tanzania maisha rahisi
FB_IMG_1587029243106.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
club D arusha naomba nioneshwe ya mombasa au kisumu nicheke plz😂😂
Edward Wanjala wasaidie ndugu zako nioneshwni ile florida ya mombasa inayonuka mpaka jasho za kunguni😁😁😁😁
E8A34C46-0E85-44AA-9D21-B014AEF5CA2E.jpeg
DE3BE1C9-8A47-42C8-8A31-E6908524A2DA.jpeg
4719A1E6-279E-4DFF-896A-2CF4418A136E.jpeg
A04ECF71-93EE-4222-8925-F85B5F0A73C2.jpeg
1E030990-C499-45FE-89FE-56A202580D03.jpeg
DE42C7CB-8EBD-4592-8ADB-19B23D327AFC.jpeg
5519C9BC-9BA4-4ED1-B644-9F7961AD1A38.jpeg
558C5BBB-BC5F-4D44-8A1C-434D0E7F9435.jpeg
 
Hii barabara ni ya lami,mbona iko brown...low quality yaani ni kama barabara ya udongo
Hzo ndiyo barabara zao ni very low quality huwa wanapigwa na wakandarasi ktk kila project mwishowe wanakuwa watu wa kupaka rangi barabara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] (usizani ni utani hiyo ndiyo hali halisi ya kenya)[emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]
Screenshot_2020-01-24-23-07-59.jpeg
 
Hzo ndiyo barabara zao ni very low quality huwa wanapigwa na wakandarasi ktk kila project mwishowe wanakuwa watu wa kupaka rangi barabara[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] (usizani ni utani hiyo ndiyo hali halisi ya kenya)[emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]View attachment 1420988
Ndio maana barabara zao zina mashimo sana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom