Tatizo la kujibu comment kwa hasira [emoji121][emoji121][emoji3][emoji3]Are you talking about urban planning? Have you forgotten that Dar is the most disorganized city in the entire world?
Mkuu mmekuwa mkirudia sn picha za hizi shule ujue
Na uelewa wako kuhusu maendeleo ni mdogo sana...LOL sasa Kenya na bus terminals wapi na wapi? Uelewa wako kuhusu umuhimu wa stands ni mdogo sana sababu hamna stands Kenya
Unamaanisha hyo shule[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante kwa kuja, haya niambie kati ya picha hizo apo chini ipi unadhani inapendeza machoni pako (mbili za kwanza Ikulu ya Magogoni, mbili za mwisho Ikulu ya Sego slum) [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]View attachment 1420770View attachment 1420771View attachment 1420772View attachment 1420773
Mkuu, umesahau ni mara ngapi mnatupia zile three blue towers hapa? 😂Mkuu mmekuwa mkirudia sn picha ujue
Bado hujaelewa kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382]zimekaa vilivyo, so never over-rate your Nakuru town ever again [emoji23][emoji23]
Maamaeee upofu umekuanza lini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakenya 30 out of 1000 ndio wanamiliki magari hao 970 wanatumia usafiri gani?wanapakia wapi wanashukia wapi? Unatakiwa utoe 7bu zakiutuuzima Acha kua kama Mbweha
It would have been kitu cha maana if Kunyaland had like unused Suswa station !Uyu jamaa nazidi kumzarau yn anaona bus stand co kitu cha maana daah
LOL stand means people and business interactionNa uelewa wako kuhusu maendeleo ni mdogo sana...
Stendi sio kigezo cha maendeleo ya sehemu husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Voyeur.We own the view
Hii hapaMaamaeee upofu umekuanza lini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Who owns Kilimanjaro!?
Beautiful views of Kilimani in Nairobi Kenya with Kilimanjaro on the horizon.
View attachment 1420740View attachment 1420741View attachment 1420742
Ama watuletee picha ya Kilimanjaro toka Dar Es SalaamNiliwambia Kilimanjaro iko Nairobi wakatokwa na povu....sasa tunawalika waje Nairobi wauone mlima kama watali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama watuletee picha ya Kilimanjaro toka Dar Es Salaam
Mombasa is way beautiful than Dar Es Salaam