Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

EKdgYykXUAA-K0s
 
safi [emoji122].. mwenye nacho lazima aongezewe [emoji1][emoji2960]
Afhadhali maana bei ya sukari

Sent using Jamii Forums mobile app
Na huyu mzee ndiyo huwa mara nyingi analeta mapinduzi kwa kutuzalishia bidhaa zenye ubora na bei nafuu, ukisikia juice basi ujue hiyo juice ina ubora ambao inaweza kuwekwa hata shoprite, tofauti na hawa wengine huwa wanatengeneza bidhaa ambazo hata wao wenyewe hawaitumii hata umuwekee mtutu kichwani, nategemea mapinduzi makubwa kwenye bidhaa hii ya sukari ambayo imefanywa kuwa adimu kuliko adimu yenyewe, [emoji122][emoji122][emoji122] Bakhressa.
 
Hv kwn Tz tunashindwa kuzalisha sukari ambayo itatosha kwa mahitaji ya nchi nzima pasipo kutegemea importation.
Haishindikani, tatizo kuna wafanyabiashara wachache waliokuwa wameishika biashara hiyo, wakiagiza sukari ya nje. Walifanya hujuma kuzuia uzalishaji wa ndani usifanikiwe.

Magu alivyoingia alitengeneza mazingira mazuri ya uzalishaji sukari wa ndani. Nakumbuka alimwomba Bakhresa awekeze kwenye biashara hiyo na kumpa eneo kubwa la kulima miwa.
 
Back
Top Bottom