Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We lia tu πŸ’‰ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ˜‚
As long as this is still the Kisumu city you are defending πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚even after 50 yrs bado haitaifikia Arusha
Kisumu-City.jpg
 
Kwani hujui ni aina gani ya aerial photographs ambayo ni nzuri kwa view s(oblique) au jiografia ilipita kushoto [emoji23][emoji23][emoji23]
Umejibu tofauti kabisa na nilichokiandika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudia, mbna huaga hamjielewi manake mara mnataka watu wa zoom hatujafika mbali tena mnataka aerial..

Km mwanamke malaya vile, huaga hana msimamo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajulie wapi wakati locust ana akili kumliko [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]msaidie mwenzako kukielewa nilichokiandika
Umejibu tofauti kabisa na nilichokiandika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudia, mbna huaga hamjielewi manake mara mnataka watu wa zoom hatujafika mbali tena mnataka aerial..

Km mwanamke malaya vile, huaga hana msimamo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazungumzia hii hii kisumu yenye ghorofa nne ambayo haiwezi gusa hata kwa Arusha! πŸ˜‚πŸ˜‚au kuna Kisum mpya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚without filter View attachment 1415642
LOL yale yale ya Nairobi na Mombasa 🀣🀣🀣🀣 yaani vimiji vyao ni finyu kama piriton

Hata hizo counties zao hapo central Kenya ni kama streets huku Tanzania πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Infrastructure zipi unazo ongelea! infrastructure ya kwanza majengo kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚au unataka Kumaanisha yale madaraja ya tofali za kuchoma mnayoita flyover πŸ˜‚πŸ˜‚
LOL ngoja waanze kukuletea kalavat za matofali ya kuchoma wakuambie ni interchange level 6 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kisumu sawa na Ujiji town mwisho wa reli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yaani CBD picha moja kwisha, inabaki kubadili angle ya photographer but ni pale pale
LOL me ndio maana kuna watu nawashangaaga sana huku, eti wamefungua kabisa thread kuifananisha kisumu na Mwanza, huwaga nawashangaaga tu

Nilishasema kisumu iwekwe level moja na Musoma au tukiipendelea sana ni Bukoba lakini utashangaa watu walivyo wa ajabu wanapoifananisha na Mwanza
 
LOL me ndio maana kuna watu nawashangaaga sana huku, eti wamefungua kabisa thread kuifananisha kisumu na Mwanza, huwaga nawashangaaga tu

Nilishasema kisumu iwekwe level moja na Musoma au tukiipendelea sana ni Bukoba lakini utashangaa watu walivyo wa ajabu wanapoifananisha na Mwanza
Mwanza imechapwa na Thika ata,
 
Back
Top Bottom