ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,865
Hehehe anajaribu kujipa matumaini kwasababu haamini mziki aliokutana nao jana hana hamu 😂😂😂😂😂Sasa kuna cha kujivunia hapo kweli?
Hehehe anajaribu kujipa matumaini kwasababu haamini mziki aliokutana nao jana hana hamu 😂😂😂😂😂Sasa kuna cha kujivunia hapo kweli?
Hapana bora iwe pale ili iamshe lile eneo litakua very classicI wish hii kitu ingekuwa posta iungane na the blues ingekuwa noma sana
Unafikiria hapo kuna mjengo wa serekali hata mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kuna cha kujivunia hapo kweli?
Ila mi naona ni vizuri Hilo jengo lipo hapo. Muda si mchache utaona mengine yanajengwa hapo along Sam Nujoma rdI wish hii kitu ingekuwa posta iungane na the blues ingekuwa noma sana
Tz noma sana, hv unadhani hao Mungiki wakipata nafasi ya kufika Iringa watatamani kurudi kwao unadhaniNaona toka jana unapokea vibano tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1415438
SureHapana bora iwe pale ili iamshe lile eneo litakua very classic
Iringa city[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]Naona toka jana unapokea vibano tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1415438
Privately owned buildings ila Kama magofu ya karne ya kumi.Unafikiria hapo kuna mjengo wa serekali hata mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wacheze kwengine waachane na iringa maana ins bus stage nzuri kuliko kenya nzima 😂😂😂😂Tz noma sana, hv unadhani hao Mungiki wakipata nafasi ya kufika Iringa watatamani kurudi kwao unadhani
Classic beiiibYaani kuna watu wanafananisha Mwanza na vitu vya kipumbavu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
View attachment 1415447View attachment 1415449View attachment 1415450View attachment 1415451View attachment 1415453View attachment 1415454
Kabisa, yani zimetokota mpka shidaHizi kweli zimeiva [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo aliepost youtube kakosea iringa is not a city, cities tanzania ziko 5 tuIringa city[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1415460
Sent using Jamii Forums mobile app
Me naona kama mnafananisha iringa na uchafu
Ndio maana nashangaa kabisa 😂😂😂Me naona kama mnafananisha iringa na uchafu
Thika ni kama kibaha yaani ni outskirt ya Nairobi, Hakuna tofauti kati ya kuwa thika na kuwa Nairobi, hata ukubwa wake ni aibu kuifananisha na Iringa
Yani wanashangaa imekuaje hapo mahali kumejaa ghorofa kiasi hicho na wakati kwao ni mawe tuHiyo ni old town?? You mean it's looking better than that village "city" full of rocks! [emoji23] [emoji23]
Ebu aone hii pia,thikaaaaa ata mwanza haiwezi thikaSasa kuna cha kujivunia hapo kweli?
Kweli kabisaMe naona kama mnafananisha iringa na uchafu
Thika ni kama kibaha yaani ni outskirt ya Nairobi, Hakuna tofauti kati ya kuwa thika na kuwa Nairobi, hata ukubwa wake ni aibu kuifananisha na Iringa
Yah!!mpka yesu atashuka dar huwezi kuta residentials kw upana huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhehehe siku utapata suburb mombasa ya kupamabana na mwanza unitag i will be there for u [emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]