kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
Sasa hapa nini cha maana nyasi pekee 😂Wamejengewa mama ngina juzi wakat mwanza ina hii vitu miaka 10 sasa😂😂👇👇👇View attachment 1412376View attachment 1412377
Km vile mlivyonunua ndege juziWamejengewa mama ngina juzi wakat mwanza ina hii vitu miaka 10 sasaView attachment 1412376View attachment 1412377



Is this express way😂😂😂
Hio ni suburb au sio 😂😂😂😂
Uhehehe sisi tumenunua nyinyi mumekodisha ndege miaka 50 😂😂😂😂 miaka 50 munamiliki ndege 3 chakavu alaf loss iwaache hvi hvi
Suburb umekosa sindio hehehe 👇👇
Ukipata suburbs nitag😂😂👇👇👇
Yupo covid19 quarantine tumuombee apone!![]()



km ni kweli aisee Mungu amjalie apone haraka aje aendelee na dozi hukuNa ndiyo maana hata nilipojaribu kufungua iligoma aiseeSio kweli, hili swala linapotoshwa na watu wengi including Maria sarungi, serikali imeshikilia msimamo wake kuwa wanafunzi waliopata mimba hawatarudi kwenye utaratibu wa kawaida, na serikali wameuelezea utaratibu unaotumika na WB wameuona ni mzuri, ukienda hata uk wanaopata mimba huwa kuna utaratibu mwingine.
Cha ajabu nini hapa
Atakudanganya express way😂😂😂😂Cha ajabu nini hapa
Hoteli iko poa ila hapo pembeni ss hehehehee depicts the whole environment of an area