Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Nkt,kwani we umekuwa nani? napost zenye mi nataka,na kama unaona kna hoteli hapo nenda kabook room,Mbona sijaona akipost tena hzi😂😂👇👇 au baada ya kubananishwa
View attachment 1411966View attachment 1411967
Uhehehehhe 💉💉💉💉 zimeingia sawa sawia asante kwa kurudi na kilioNkt,kwani we umekuwa nani? napost zenye mi nataka,na kama unaona kna hoteli hapo nenda kabook room,
Am not yet doneUhehehehhe 💉💉💉💉 zimeingia sawa sawia asante kwa kurudi na kilio
anaweza hilo ngoja WB waache kumtibua! Wampe hela za elimu ya sekondari kwanza!mzee atafute trillion moja ajenge viwanja 3 vya mpira @80-100billions, na hela nyingine ziende kujenga international swimming pools, boxing courts, basketball grounds, etc.. kuna faida kuwekeza kweny michezo pia mfano kupunguza tatizo la ajira .. sio wote tumeumbwa tuwe doctors, engineers, etc
anaweza hilo ngoja WB waache kumtibua! Wampe hela za elimu ya sekondari kwanza!
Ujenzi wa bypass mpya,SGR ambayo ni functional,upanuzi wa Mombasa port,lamu port,kisumu port,new oil terminus, lake trukana wind plant,electricity vijijini,ujenzi wa expressway,endelezeni hii list...Ukarabati wa meli mbili na uundaji wa meli mpya ziwa victoria , utengenezaji wa cherezo Mwanza, Ujenzi, upanuaji na ukarabati wa viwanja 11 vya ndege, Upanuaji wa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara katika bahari ya hindi, ujenzi wa BRT phase2, Upanuzi wa barabara jijini Dar na mengine mengi. Endelezeni hii list.......
Hawa jamaa wanakimbia kwao nowadays
![]()
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy


Good ideamzee atafute trillion moja ajenge viwanja 3 vya mpira @80-100billions, na hela nyingine ziende kujenga international swimming pools, boxing courts, basketball grounds, etc.. kuna faida kuwekeza kweny michezo pia mfano kupunguza tatizo la ajira .. sio wote tumeumbwa tuwe doctors, engineers, etc
kaa la moto issue ile!washampa.. ‘approve’.. jamaa akubali tu kufata masharti yao ya kutofukuza mwanafunz
Functional SGRUjenzi wa bypass mpya,SGR ambayo ni functional,upanuzi wa Mombasa port,lamu port,kisumu port,new oil terminus, lake trukana wind plant,electricity vijijini,ujenzi wa expressway,endelezeni hii list...



We leta dharau tuHiki ni kivuko au karai![]()

ungejua ilo KARAI linavyo pendeza hawa 


wakiwa ndani yake usinge cheka