Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta vitu tulete vitu wacha maneno maneno [emoji3][emoji3]
Naleta vitu kulingana na title vile inasoma
Screenshot_2020-03-08-18-35-50.jpeg
Screenshot_2020-03-08-18-43-52.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajitia ukichaa kwamba haelewi maana ya ultra modern 😂😂😂
sasa kama vifaa ni tizi hayo majengo inakuwaje kuna ile picha post za juu mitungi ya gesi nikajua welding station

kumbe mitungi ya 0xygen hospital🏨🏨
 
sasa kama vifaa ni tizi hayo majengo inakuwaje kuna ile picha post za juu mitungi ya gesi nikajua welding station

kumbe mitungi ya 0xygen hospital🏨🏨
Nakwambia hakuna hospital ya kisasa na kubwa mombasa au kisumu kama bugando hakuna na hawatapata subiri utaona😂😂😂
 
Mwambie mwenzio akueleze maana ya ultramodern hospital kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]manake unafuata mkondo tu wala hujui kunaendelea nn
sasa kama vifaa ni tizi hayo majengo inakuwaje kuna ile picha post za juu mitungi ya gesi nikajua welding station

kumbe mitungi ya 0xygen hospital[emoji545][emoji545]
Nakwambia hakuna hospital ya kisasa na kubwa mombasa au kisumu kama bugando hakuna na hawatapata subiri utaona[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee unakosea kufanananisha Mv Jambo na Mv Safari na Sealink na Seastar! Hizi za Kenya hazina engine na navigation systems za kuwezesha kusafiri masafa marefu! Naombeni muache kumu-entertain huyu jamaa! Mv Magogoni ndo size zao!
Nimemuuliza swali jingine kabisa bro hata usijal 😂😂😂
 
Back
Top Bottom