Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,855
- 103,716
Ikulu Chamwino!Hili ni jengo gani?
Ikulu Chamwino!Hili ni jengo gani?
Hana akili halafu ni mlevi wa changaa 😂😂😂Hakuna uchafu mbaya kama kunguni...if you know what I mean.
Ofisi ya Rais Chamwino.Hili ni jengo gani?
Hivi kwenye slums kuna nyumba za blocks zimeezekwa kwa bati, barabara zilizopangika na Nguzo za umeme?. Pikipiki zinapita vizuri?KIWALANI SLUMS DARSLUM:Ni kata mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika mkoa wa DARSLUM.Wajinga ndio waliwao!View attachment 1400480View attachment 1400481View attachment 1400482View attachment 1400483View attachment 1400484View attachment 1400485View attachment 1400486View attachment 1400487Wak
What is your point?KIWALANI SLUMS DARSLUM:Ni kata mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika mkoa wa DARSLUM.Wajinga ndio waliwao!View attachment 1400480View attachment 1400481View attachment 1400482View attachment 1400483View attachment 1400484View attachment 1400485View attachment 1400486View attachment 1400487Wak
Kuhusu lami inategemea hizo picha alizopost ni za lini maana kwa namna lami zinavyo tandikwa kwenye mitaa ya Dar ni noma kwa sasa Yaani kazi nzuri imefanyika sana na inaendelea kufanyika😂😂😂Hapo tatizo ni hiyo barabara haina lami
Kiwalani naijua vzr sn huwez kudanganya watu humu, kiwalani ya ss co ya 90s ni moja kati ya miji iliyofaidika mno na DMDP af kiwalani, ina mitaa pia haina nyumba zilizochoka km hzo labda unazungumzia kiwalani ya Mwinyi na co hii ya Magu ngj nkipata picha nkuletee hapa yn ina barabara za lami kila mtaa na taa za kisasa kabisa ngj nizipate picha nkunyamazishe, mnadhani hii ni KenyaKIWALANI SLUMS DARSLUM:Ni kata mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika mkoa wa DARSLUM.Wajinga ndio waliwao!View attachment 1400480View attachment 1400481View attachment 1400482View attachment 1400483View attachment 1400484View attachment 1400485View attachment 1400486View attachment 1400487Wak




Mkuu co kiwalani hyo, hehehehee kagusa sehemu mby sn subiri tu ataaibika we ngj nipate picha za kiwalaniHivi kwenye slums kuna nyumba za blocks zimeezekwa kwa bati, barabara zilizopangika na Nguzo za umeme?. Pikipiki zinapita vizuri?
Hapo tatizo ni hiyo barabara haina lami Kwahiyo imejaa maji kutokana na mafuriko yanayoendelea. Hapo kila nyumba ina choo, umeme, na mfumo mzuri wa maji taka. Wacha kutapatapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha 😂😂😂😂kweli unamatatizo!! sasa unaunga hadi slums za nairobi!KINONDINI SLUMS KATIKA MKOA WA DARSLUM View attachment 1400531View attachment 1400530View attachment 1400531View attachment 1400532View attachment 1400533View attachment 1400534View attachment 1400535View attachment 1400536View attachment 1400537View attachment 1400538View attachment 1400539View attachment 1400540
Ngoja ataaibika we subiri, hii ni Tz mpya Tz ya Magufuli mzeeKuhusu lami inategemea hizo picha alizopost ni za lini maana kwa namna lami zinavyo tandikwa kwenye mitaa ya Dar ni noma kwa sasa Yaani kazi nzuri imefanyika sana na inaendelea kufanyika![]()