Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,899
- 103,765
When Kenya was rated above Tanzania last year what did you people say? To you guys, something is only good if it places Tanzania above Kenya. Any other thing ni ya kupikwa na ya makaratasi. Horrible!
Wewe ni kipofuNi nini imefanyika mwaka huu? And is 2022 the first time Kenya is going to hold an election? We've been holding elections since 1963 na bado mnasoma number yetu kutoka wakati huo hadi wa leo. So unaona vile unajipa matumaini pasipo na matumaini!!
its a good approach!
Nikimlipua sasa hvi watakimbia wote tutakua hatuna wapunzani acha wakae kidogo wajionee tanzania ilipo alaf dawa yake ntampa moja kwa moja nyie tulieni tu😂😂Cjui kwnn anaogopa, au ndo tuamini kwmb alifny vile kuwakilisha ukenya wake "kujitutumua" ebhn ichoboy kwnn usimlipue huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kwenye makumbusho yao kuna vitu ambavyo vipo kila mahali from Africa mpaka mabara mengine. Sasa kama mnyama eti anakua ndio kinyago cha asili lets say twiga jamani kuna kipi kipya hapo. Ila ukiona lile chaka la watu unajua mwenyewe kuwa this is unique na unajua fika hii imetoka TZ na soon wataiga nakuanza kuchonga vinyago vya wamakondeMngekuwa na akili kama mngedumisha utamaduni wa asili ya makabila "yenyu". Sasa ukabila "wenyu" unafaida gani kama hauna ustaarabu.
Sisi Tanzania tunaustarabu unaong'aa mpaka nje ya mipaka yetu, mfano uvaaji wa Khanga, michoro ya tinga tinga, Vinyago vya kimakonde, nyimbo za kigogo, utamaduni wa Zanzibar, bongo flava, singeli, kiswahili n.k
watakula fimbo za faini za kutosha......miliki za watuHalafu kwenye makumbusho yao kuna vitu ambavyo vipo kila mahali from Africa mpaka mabara mengine. Sasa kama mnyama eti anakua ndio kinyago cha asili lets say twiga jamani kuna kipi kipya hapo. Ila ukiona lile chaka la watu unajua mwenyewe kuwa this is unique na unajua fika hii imetoka TZ na soon wataiga nakuanza kuchonga vinyago vya wamakonde
Kwani hamjui washatangaza wamakonde kama kabila mojawapo huko Kunyaland?Halafu kwenye makumbusho yao kuna vitu ambavyo vipo kila mahali from Africa mpaka mabara mengine. Sasa kama mnyama eti anakua ndio kinyago cha asili lets say twiga jamani kuna kipi kipya hapo. Ila ukiona lile chaka la watu unajua mwenyewe kuwa this is unique na unajua fika hii imetoka TZ na soon wataiga nakuanza kuchonga vinyago vya wamakonde
Hii kazi nimeielewa,naomba uposti picha ya ubavuni tuone..sorry lakiniwabongo bana cheki walivoifanya probox
View attachment 1392831
1000MW from which ground?Cha ajabu ni kwamba wewe ndio hujui unachosema. In order to convert to electric rail, Kenya will need 1,000 MW of uninterrupted electricity. Kenya currently has installed capacity of 2,700 MW against the national peak demand of 1,800 MW as of 2019. That leaves us with only around 900 MW to play around with which is still isn't enough to run electric trains. You should thank me for this piece of information
You killed him with that reply lolYet you are dying from hunger in magnitudes, despite the fact that you are receiving food donations from all parts of the world 😂😂😂😂😂😂😂
Haya sasa, kumbe wamefika huko? yaani hawa majirani wana shobo za kikahaba sanaKwani hamjui washatangaza wamakonde kama kabila mojawapo huko Kunyaland?
Why Makonde and not Shona? — MCAHaya sasa, kumbe wamefika huko? yaani hawa majirani wana shobo za kikahaba sana