thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Naamini Kama hao viongozi wao wangetumia akili kutafakari wasingekubali kujengewa hivyo na kuletewa mitungi ya chang'aa. Tatizo matumbo yalichukua nafasi ya kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi wakenya mna matatizo makubwa ya akili. Reli ya umeme inatumika na Diesel locomotives pia, kwanini msingejenga reli ya umeme kama tunavyojenga sisi, lakini mkanunua locomotive za Diesel hadi mtakapokua na umeme wa kutosha?.
Ukweli ni kwamba, kamwe hamkuwahi kufikiria kujenga reli ya umeme, Viongozi wenu wana uwezo mdogo sana wa kufikiria mbele , wao tangu mwanzo walikua na mtazamo kwamba Kenya haina umeme wa kutosha, kilichowafumbua macho ni waliposikia Tanzania inajenga reli ya umeme, ndio nao wakaona kumbe inawezekana kuweka umeme katika reli yenu. Kamwe hiyo reli haitowekwa umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

