The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Utatulizwa wala usihofu na ndio maana nakuita mgeni kwmb ww pia ni miongoni mwa wakenya waliokuwa wanadhani hii ni tz ya 90s ss utapaswa kupewa dozi zako na utaenda kuhadithia wenzako ili mbadili mindset zenu about the Giant Tanzania.Still waiting for Tanzania vs Ghana economy go change the topic?
Sent using Jamii Forums mobile app



