Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mada ya millionaires is neither here nor there. Knight and Frank stated that Kenya had 8,300 dollar millionaires in 2018 and was the third in Africa after SA, Egypt and Nigeria. How that number has dropped by 6,000 people in just over one year only them can explain
So wao wamekosea wewe umepatia 😁😁😁😁 2018 is not 2020 kama muliporomoka kwa uchumi mbovu haiwez badilikia numbers🤣🤣🤣

Ndio mushaporomoka na mumeangukia pua na labda nikwambie ukweli hamuwez badilisha kitu nyinyi munaeza ni kupika GDP
 
Mada ya millionaires is neither here nor there. Knight and Frank stated that Kenya had 8,300 dollar millionaires in 2018 and was the third in Africa after SA, Egypt and Nigeria. How that number has dropped by 6,000 people in just over one year only them can explain
Kilio kitaishia hapa😁😁😁👇👇👇 sasa tumebakiza ushuzi wa GDP
2330842_Adjustments.jpg
 
niko kwenye huu uzi kabla hujaja niliwahi sema nilifungua account jf kwa ajili ya huu uzi ivo naelewa hata kama mtu akirudia kitu kukosea mara nyingi ila kama we n mwerevu unampotezea tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo anawivu sana na maendeleo ya Tanzania yani ni wajinga sana hawajui Tanzania ikiendelea east Africa imeendelea pia😁😁😁
 
Mada ya millionaires is neither here nor there. Knight and Frank stated that Kenya had 8,300 dollar millionaires in 2018 and was the third in Africa after SA, Egypt and Nigeria. How that number has dropped by 6,000 people in just over one year only them can explain
Huu sio muda wa kujiuliza, ripoti imeshatoka na imeshasambaa dunia nzima. Mpaka hapo itakapotoka ripoti mpya na kupindua hii ya sasa hivi ndio utapata jibu, kwa sasa hivi taarifa iliyopo duniani ni kwamba " Tanzania ina idadi kubwa ya $Millionaires kuliko Kenya + Uganda + Rwanda + Burundi kwa pamoja. Tanzania hoyeeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anatafuta slums Dar akajipost
Nicxie keshafeli, teargass keshafeli wanaendelea na battle kwasabu ya mazoea tu ila hawana hamu kabisa cz walivyodhani mwanzo ni tofauti na walichokuja kugundua kuanzia utaalamu wa kujibu hoja mpk maendeleo ya nchi, walikuwa wanajiongopea wao ndio wenye akili hapa EA na nchi yao pekee ndio yenye maendeleo katika ukanda huu na nchi zingine zipo zipo tu, ss kupitia huu uzi wamegundua kuna baba lao ktk ukanda huu ila halipigi kelele linamfukuza mwizi kmy kmy
 
Nicxie keshafeli, teargass keshafeli wanaendelea na battle kwasabu ya mazoea tu ila hawana hamu kabisa cz walivyodhani mwanzo ni tofauti walichokuja kugundua, walikuwa wanajiongopea nchi yao pekee ndio yenye maendeleo katika ukanda huu na nchi zingine zipo zipo tu, ss kupitia huu uzi wamegundua kuna baba lao ktk ukanda huu ila halipigi kelele linamfukuza mwizi kmy kmy
Ripoti ya knight frank ndio imewachapa zaidi 😂😂😂
 
Ripoti ya knight frank ndio imewachapa zaidi
Hyo report imewahi sn kuja, mm nilitaka ichelewe kdg mpk joka lije liwachezee siri zao af ndo report ije, but co mby wkt wakijiuliza inakuwaje wapitwe idadi ya wenye mbumba, joka hili apa na ndpo watakapo logout jf na wataichukia sn
 
Back
Top Bottom