Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unamanisha hao mamillionaire huishi kwenye slums?View attachment 1383682

Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁👇👇👇👇👇
Screenshot_20200207-150801_Gallery.jpg
 
Hii thread haijanisaidia kujua lolote kuhusu Tanzania nchi ya viwonder. I already knew that Tanzania is an LDC with a lower per capita income than Kenya even before this thread was created. The only thing this thread has perhaps taught me is that there are people who can't comprehend simple English and would end up posting links they do not understand their content and still shout about it
unakuwa kama mtoto mkuu alitumia link inayohusu tz vibaya kaleta kakosea sasa unazidi kungangania kitu kimoja mwezi unaisha afu mtu mzima kwani ulivosema kwamba link n ya drugs akanyamaza inatosha kuonesha kaelewa ivo topic iishe tumove on sasa kila baada ya comment mbili tatu ushaiongelea io post afu hata kuwa center ya drugs n profit maana dawa inapesa sio kitoto sio kwamba nakupinga ila haina ladha kila dakika unaongelea kitu kile kile mwisho wa siku utakosa muda wa kuingia kwenye list za mamilionaire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unakuwa kama mtoto mkuu alitumia link inayohusu tz vibaya kaleta kakosea sasa unazidi kungangania kitu kimoja mwezi unaisha afu mtu mzima kwani ulivosema kwamba link n ya drugs akanyamaza inatosha kuonesha kaelewa ivo topic iishe tumove on sasa kila baada ya comment mbili tatu ushaiongelea io post afu hata kuwa center ya drugs n profit maana dawa inapesa sio kitoto sio kwamba nakupinga ila haina ladha kila dakika unaongelea kitu kile kile mwisho wa siku utakosa muda wa kuingia kwenye list za mamilionaire

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwann wanaongelea HVO kwasababu wamekamatika hawana namna 😁😁😁😁😁 sasa wanajaribu kuzuga ili mada ya millionares ipotee lakini haitapotea na misumari tutapigilia na ajiandae bomu lake la BRT linakuja nitamyoosha huyo nyie subirieni mujioneee
 
Unajua kwann wanaongelea HVO kwasababu wamekamatika hawana namna sasa wanajaribu kuzuga ili mada ya millionares ipotee lakini haitapotea na misumari tutapigilia na ajiandae bomu lake la BRT linakuja nitamyoosha huyo nyie subirieni mujioneee
kuna mwingine naona anauliza watu kwenye hii thread kama tuko kwenye list ilo mm sijui kwa kweli ila nnachojua ktz 2.3 bilion ni sawa na 1m usd sasa sijajua io pesa inawashangaza nn hawa watu

afu apo n sawa na kusema idadi ya mamilionea mwanza na arusha tukiongeza na kidogo wa dodoma inatoshana na kenya nzima maana tupo wengi zaidi yao mara tatu karibia sio mchezo

nb:- faida ya kuwa na pesa yenye purchasing power kubwa ndani ya nchi naona inatu favour ila sijajua kivip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Distance ya mita 200 vs 10000 , millionaire hawapo kwenu acha kucompare diesel sgr


Sent from Gnet Phone using JamiiForums

Kalinganisha idadi ya majengo kasahua miundombinu chini.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
unakuwa kama mtoto mkuu alitumia link inayohusu tz vibaya kaleta kakosea sasa unazidi kungangania kitu kimoja mwezi unaisha afu mtu mzima kwani ulivosema kwamba link n ya drugs akanyamaza inatosha kuonesha kaelewa ivo topic iishe tumove on sasa kila baada ya comment mbili tatu ushaiongelea io post afu hata kuwa center ya drugs n profit maana dawa inapesa sio kitoto sio kwamba nakupinga ila haina ladha kila dakika unaongelea kitu kile kile mwisho wa siku utakosa muda wa kuingia kwenye list za mamilionaire

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mgeni wa hii thread. Hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa huyo kijana wenu kuketa links azizoelewa content zake. Ingekuwa ni mara yake ya kwanza singeshugulika naye hata dakika moja
 
Unajua kwann wanaongelea HVO kwasababu wamekamatika hawana namna 😁😁😁😁😁 sasa wanajaribu kuzuga ili mada ya millionares ipotee lakini haitapotea na misumari tutapigilia na ajiandae bomu lake la BRT linakuja nitamyoosha huyo nyie subirieni mujioneee
Mada ya millionaires is neither here nor there. Knight and Frank stated that Kenya had 8,300 dollar millionaires in 2018 and was the third in Africa after SA, Egypt and Nigeria. How that number has dropped by 6,000 people in just over one year only them can explain
 
Wewe ni mgeni wa hii thread. Hiyo haikuwa mara ya kwanza kwa huyo kijana wenu kuketa links azizoelewa content zake. Ingekuwa ni mara yake ya kwanza singeshugulika naye hata dakika moja
niko kwenye huu uzi kabla hujaja niliwahi sema nilifungua account jf kwa ajili ya huu uzi ivo naelewa hata kama mtu akirudia kitu kukosea mara nyingi ila kama we n mwerevu unampotezea tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom