Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona mumepewa msaada🤣🤣🤣👇👇👇
Wazee wa GDP


Screenshot_20200308-220052.png

hujui kusoma bro
 
Hainiumi mzee nikiangalia maisha mnayoishi ninyi hayawezi lingana na sisi kamwe. Na hizo takwimu zilizotolewa juzi nakupa miaka miwili wataongezeka wenginee zaidi ya haooo. Huwezi kusema mmetuzidi utajiri hii sio tanzania unayoifaham ww ya mtandaonii tuko mbalii sana mzeee. Ndio maana wenzako waliowah kuja tz wanalilia wabaki unafaham kwanini wanataka wabakiii???
😂 😂 😂
Everything you are saying here is your own opinion which you are entitled to. It is not backed up by any scientific research. Kama mko na maisha mazuri kutuliko, iweje Kenya kuna matajiri wengi kuliko Tanzania? Kama mko na maishi bora kutuliko, mbona wale ombaomba wenu wamaejaza barabara na mitaa zetu? Jiulize na ujijibi
 
Back
Top Bottom