Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa ss hii taasisi ipo vzr kusema kweli
Tanzania yapanda viwango utabiri wa hali ya hewa.
Screenshot_2020-03-10-09-25-48.jpeg
 
Kumbe habari ishawafikia huko kwao, ss hawa wapuuzi wa humu mbn wanajitia kuzikosoa hzo takwimu tatizo nn elimu duni ya kufafanua mambo au wivu wa kimaendeleo, hakuna gazeti hata moja la kenya linalopinga hzo report wala hakuna msomi hata mmoja tunayemjua ambaye ameonyesha wasi wasi, ila wasi wasi unaoneshwa na hii misukule ya humu, pathetic.
Wivu na hasira, walijitenga na waafrika ktk ukombozi wa Africa wakawa wanashughulika na Uchumi, timemaliza kuzikomboa nchi za Afrika, sasa tunawapita, hawaamini kinachotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom