Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires : The StandardCloser home, Kenya is expected to have 21,200 dollar millionaires, compared with Tanzania’s 15,200. joto la jiwe ameweka ripoti ya Dollar millionaires akifikiri Tz imeipiku Kenya ila akasahau kuisoma Hadi mwisho na kuelewa. Amefanya Kama wewe kusifia usilolielewa kwa ile ripoti ya Tz kuwa kitovu Cha wauza Unga AfricaView attachment 1382598
Mnazo tatu acha kudanganya watuuu40 ilhali nyinyi zenu ni za kulipa Deni Hadi haziruki zinaota kutu kwa runway![]()
So only Toyota hilux 😁😁😁😁 mm nikajua assembly plant ya Toyota kama ile ya south Africa kumbe ushuziKijana wa geography, hizi vitu hazihitaji makasiriko. Hata hiyo Toyota unayosema already has assembly plant in Kenya.This is still a pipe dream in Tanzania nchi ya viwonder
Toyota starts local Hilux assembly
Wanauza wapi mwambie ajibu hilo swali ni nchi gani wanauza nje kwasababu VW hata Rwanda ipo ila wanauza wapi????Pamoja kuwa hawana plant ya toyota wako na VW ndo nahisi ndo kiwanda kinachozalisha magari hapo kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa expectations lakini mambo kwa ground ushuzi si hata BRT muli expect iko wapi🤣🤣🤣🤣🤣Closer home, Kenya is expected to have 21,200 dollar millionaires, compared with Tanzania’s 15,200. joto la jiwe ameweka ripoti ya Dollar millionaires akifikiri Tz imeipiku Kenya ila akasahau kuisoma Hadi mwisho na kuelewa. Amefanya Kama wewe kusifia usilolielewa kwa ile ripoti ya Tz kuwa kitovu Cha wauza Unga Africa 😁View attachment 1382598
Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires : The Standard
Hahahaha, yote haya ni "Media" za Kenya ndio zinazosema hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app



GDP iliojaa ushuzi na madeni ya mchina🤣👇👇Closer home, Kenya is expected to have 21,200 dollar millionaires, compared with Tanzania’s 15,200. joto la jiwe ameweka ripoti ya Dollar millionaires akifikiri Tz imeipiku Kenya ila akasahau kuisoma Hadi mwisho na kuelewa. Amefanya Kama wewe kusifia usilolielewa kwa ile ripoti ya Tz kuwa kitovu Cha wauza Unga Africa 😁View attachment 1382598
Jamaa wanalia sasa hvi walijisahau sana hawa mbuzi 🤣🤣🤣🤣 sasa hvi washajua kua GDP ni ushuzi wa bataKenyans richer but Tanzania home to more millionaires : The Standard
Hahahaha, yote haya ni "Media" za Kenya ndio zinazosema hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe habari ishawafikia huko kwao, ss hawa wapuuzi wa humu mbn wanajitia kuzikosoa hzo takwimu tatizo nn elimu duni ya kufafanua mambo au wivu wa kimaendeleo, hakuna gazeti hata moja la kenya linalopinga hzo report wala hakuna msomi hata mmoja tunayemjua ambaye ameonyesha wasi wasi, ila wasi wasi unaoneshwa na hii misukule ya humu, pathetic.GDP iliojaa ushuzi na madeni ya mchina
D N A 😂😂😂Kumbe habari ishawafikia huko kwao, ss hawa wapuuzi wa humu mbn wanajitia kuzikosoa hzo takwimu tatizo nn elimu duni ya kufafanua mambo au wivu wa kimaendeleo, hakuna gazeti hata moja la kenya linalopinga hzo report wala hakuna msomi hata mmoja tunayemjua ambaye ameonyesha wasi wasi, ila wasi wasi unaoneshwa na hii misukule ya humu, pathetic.
Unajua bro hawa walijisahau sana wakadhani nchi za east Africa bado ni zile za 90s sasa leo kumekucha ndio wanatafuta shuka 🤣🤣🤣 hawawezi amini miaka minne ya huyu jamaa kafanya maajabu ya dunia mark my wordsKumbe habari ishawafikia huko kwao, ss hawa wapuuzi wa humu mbn wanajitia kuzikosoa hzo takwimu tatizo nn elimu duni ya kufafanua mambo au wivu wa kimaendeleo, hakuna gazeti hata moja la kenya linalopinga hzo report wala hakuna msomi hata mmoja tunayemjua ambaye ameonyesha wasi wasi, ila wasi wasi unaoneshwa na hii misukule ya humu, pathetic.
Wanadhani Tanzania ni kama wao ambapo chanzo cha utajiri Kenya ni ufisadi pamoja na rushwa 😂😂😂Unajua bro hawa walijisahau sana wakadhani nchi za east Africa bado ni zile za 90s sasa leo kumekucha ndio wanatafuta shuka 🤣🤣🤣 hawawezi amini miaka minne ya huyu jamaa kafanya maajabu ya dunia mark my words
Hapa watabakia kusifia ushuzi wa GDP ambao 64% ni debt to GDP ratio🤣🤣🤣🤣Wanadhani Tanzania ni kama wao ambapo chanzo cha utajiri Kenya ni ufisadi pamoja na rushwa 😂😂😂