The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,534
65,000 vehicles pass through
65,000 vehicles pass through
Wewe unaweza kuwa shabiki wa dondi. Mambo ya kandanda Huna uelewa hata kidogo. Ngolo Kante ako na assists ngapi Chelsea na Leicester City combined?
He's just doing a comparison because both are defensive midfielders. Mbona huelewi mambo rahisi?Kandanda ndio nyumbani,
Huyo ngolo umemlinganisha wewe.
Sasa mbona hana assist nyingi?Wanyama is a defensive midfielder, not even an attacking midfielder. How to you expect him to score goals? How many goals has Granit Xhaka scored for Arsenal? How many has Ngolo Kante scored for Chelsea? How many goals did Michael Carrick score for Manchester United?
I thought you were going to say something constructive and give many examples. Kumbe povu tu?Raisi Uhuru Kenyatta ana mkopi sn Magufuli kwa mfano saivi serikali yake imesitisha kuajiri kwa miaka mitatu ili kukabiliana na ukata wa fedha ulioikumba GoK, idea hii alikuja nayo Magufuli wkt anaingia madarakani, btw co Uhuru Kenyatta tu anaemkopi Magu bali marais wengi Afrika, na bado mtakopi na kupest sn tu![]()
Wewe ndio hauelewi na ndio maana unafananisha na v8 😂😂😂He's just doing a comparison because both are defensive midfielders. Mbona huelewi mambo rahisi?
Give me the number of assists those players I have highlighted above have in their respective teams then do a comparison. Granit Xhaka ako na assists ngapi Arsenal? Na Kante ako na ngapi Chelsea. Nilichogundua ni kwamba wengi wenu hamuelewi mpira wa kandandaSasa mbona hana assist nyingi?
Unatafuta pakutokea 😂😂😂
Hapa tunaongelea kuhusu wanyama unayemuita v8 😂 😂 😂Give me the number of assists those players I have highlighted above have in their respective teams then do a comparison. Granit Xhaka ako na assists ngapi Arsenal? Na Kante ako na ngapi Chelsea. Nilichogundua ni kwamba wengi wenu hamuelewi mpira wa kandanda
Huo ni ujinga. Wanyama amecheza huko miaka saba wala hatukuwahi uliza maswali za kijinga kama hizi. Huyu wenu ako huko for only two months na pia anaenda kushushwa daraja na hatupumui!!Tunazungumzia kwa ss na co habari za miaka iliyopita, je mna mkenya anaecheza epl? Jibu swali acha kulia lia.
Ni V8 kwa sababu ako na uzoefu wa EPL wa miaka saba. Utamlinganishaje na bajaji ambaye amekuwa huko kwa mwezi miwili tu na pia anaenda kushushwa daraja?Hapa tunaongelea kuhusu wanyama unayemuita v8 😂 😂 😂
Acha kutafuta usaidizi.
Heheheheheeee mchezaj mwenyewe tumewaazima tuIt's like asking how many assists does a defender provide



Uzoefu wa red card, goals 10, assist 3 ndani ya hiyo miaka 7, kusugua bench 😂😂😂Ni V8 kwa sababu ako na uzoefu wa EPL wa miaka saba. Utamlinganishaje na bajaji ambaye amekuwa huko kwa mwezi miwili tu na pia anaenda kushushwa daraja?
Ngolo Kante ni mchezaji mzuri sana kushinda Wanyama. Je ako na assists ngapi?Mchezaji akiwa mzuri anaweza kuwa na assist nyingi tu.
Mkuu usipate nae shida huyo mchezaj tumewaazima tu ni mtzHapa tunaongelea kuhusu wanyama unayemuita v8![]()
![]()
![]()
Acha kutafuta usaidizi.
Hehehe Huyu naye mumemuiba tayari?? Naona mkiiba hadi jua hivi Karibuni
Lia uwezavyo, ila huwezi kubadili huu ukweliHehehe Huyu naye mumemuiba tayari?? Naona mkiiba hadi jua hivi Karibuni





Ngolo ana assist kumi,Ngolo Kante ni mchezaji mzuri sana kushinda Wanyama. Je ako na assists ngapi?
Wanyama ameuzwa coz of injury issues. It's like saying Arsenal sold Jack Wilshere Kwa sababu ilikuwa useless which is not correct. Huyo Wanyama unayemuita useless scored against the mighty Barcelona, which is a pipe dream kwa huyu bajaji wenu anayeenda kushushwa daraja in the next two monthsNa ndiyo maana wakamuuza yn he's useless defensive midfielder tackling chache![]()
Naona hapa 😂😂😂Mkuu usipate nae shida huyo mchezaj tumewaazima tu ni mtz