Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,852
- 103,715
Inashinda those things you call cities. The Tangas and Mbeyas of this world yet Kisii is not even in top ten in Kenya
That's eastlands where the majority of Nairobians live. Ukitaka zaidi kibabe itisha. Ziko nyingi si habaHii area iko so ordinary sio yakibabe kama mnavyohisi nyie...yani izo nyumba ziko ziko tu kwani kodi ni ndogo sana au
Sent using Jamii Forums mobile app
I know you fear apartments. Mmejaza jiji lenu na dream houses and you think we should do the same. Why do you think/force that I should live in a dream house like you do?Hayo mabox ambayo mchanga unamomonyoka ndio better 😂😂😂
Nilishakuambia mbwa wangu analala pazuri kuliko wewe.
Kweli Tz hakuna slums mana pcha anazopost ichoboy na unazopost ww zna utofauti mkubwa sana
ZAIDI YA YOTE... AIRPORT
Sent from Gnet Phone using JamiiForums


Hizo dream houses zenu zinapatikana tu katika slums zetu. How do you feel about that?Kweli Tz hakuna slums mana pcha anazopost ichoboy na unazopost ww zna utofauti mkubwa sana
Ss hzo slum ziko wapi ebu tupia pcha japo mbili za hzo unazoita ww dream house af na mm nitupie original definition tuoneHizo dream houses zenu zinapatikana tu katika slums zetu. How do you feel about that?


I told you that hizo squalors you call dream houses hupatikana tu kwenye slums huku Nairobi. What don't you get bongolala?Ss hzo slum ziko wapi ebu tupia pcha japo mbili za hzo unazoita ww slum af na mm nitupie original definition tuone![]()
Nyinyi hamna uwezo wa kujenga na ndio maana mmejazana kwenye mabox ya kubebea vifaranga,I know you fear apartments. Mmejaza jiji lenu na dream houses and you think we should do the same. Why do you think/force that I should live in a dream house like you do?
Compare and contrast
Nrb
View attachment 1374909
New York 😂 😂 View attachment 1374910
Moro - Dom
Namsubiri aje, nishamuandalia sindano zake 😂😂😂naisubir comment yake nione upuuzi wake
So you feel so proud building things like this and call them a dream house? is that how low your dreams are?Nyinyi hamna uwezo wa kujenga na ndio maana mmejazana kwenye mabox ya kubebea vifaranga,
Mkijenga mnajenga bati after bati,
Slums kila kona ya Nairoslums na zinaendelea kuchipua daily kama uyoga
LOL twende mbele turudi nyuma 😆😆😆😆😆Eti kenya failed on planning! 😂 😂 😂 😂
Kweli nyani haoni kundule
NRB
View attachment 1374797View attachment 1374798View attachment 1374799View attachment 1374801View attachment 1374802View attachment 1374803View attachment 1374804View attachment 1374805View attachment 1374807View attachment 1374808
Dar 😂 😂 😂 😂
View attachment 1374810View attachment 1374812View attachment 1374813View attachment 1374814View attachment 1374817View attachment 1374819
Show me anywhere in Nairobi that looks like this kama sio slumNyinyi hamna uwezo wa kujenga na ndio maana mmejazana kwenye mabox ya kubebea vifaranga,
Mkijenga mnajenga bati after bati,
Slums kila kona ya Nairoslums na zinaendelea kuchipua daily kama uyoga
Ndio, anayeishi humo ana uhakika wa huduma zote muhimu za kijamii na Kuna vyoo..hawanyi kwenye flying toilets,So you feel so proud building things like this and call them a dream house? is that how low your dreams are? View attachment 1374941