ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Na inaisha kwa siku moja kwenye jiji la starehe linaloongoza east africa😁😁😁😁
Na inaisha kwa siku moja kwenye jiji la starehe linaloongoza east africa😁😁😁😁
Uhehehhe nimekwambia BRT sio githeri usifkiri unaamka na bangi zako unaanza kuongea upupu humu ndani😁😁😁😁Wewe pia rahisisha Kazi. Niambie hiyo ni Nairobi-Nakuru highway gani ambayo ilikuwa under construction in December wakati ulipita hapo?
Watakuambia kuwa wao ni educated.....Ila ukifuatilia ni zile degree zakusuka mkeka na kupaka wanjaKenyatta alikua anachezea machungwa shuleni![]()
Utakuja kuwa tu usijali maisha ni taratibu......ukipata your welcome.....but be care......in dakika zero utajikuta hauna kitu
Na inaisha kwa siku moja kwenye jiji la starehe linaloongoza east africa![]()
Leta hio million uone kama utatoboa siku mbili huku😁😁😁😁😁 dar isikuumize kichwa plzMmebandika titles za illusions kwa fishing uswazi village of dar...lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndinda umemaliza ugomvi ,ahsante ,matomaso yasiyo amini bado yatakuwepoNajua hujui, Now you know. This is from Official Estim Construction Website, The Company which built the tower .
View attachment 1353459
View attachment 1353460
View attachment 1353461
Sent from my iPhone using JamiiForums
CBD
DSC_5888-2 by indaressalaam, 於 Flickr
Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, 於 Flickr
Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, 於 Flickr
Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, 於 Flickr




Unajua mzeeKama tu vivuko vimewashinda sembuse hizi boti 😂😂😂 hawana nguvu hawana uwezo.Sijui kama Kenya kuna hii kitu😁😁👇👇
View attachment 1353769
So ile GDP iko wap sasa😁😁😁😁Kama tu vivuko vimewashinda sembuse hizi boti 😂😂😂 hawana nguvu hawana uwezo.
Ile ni ya kwenye makaratasi tu 😂 😂 😂So ile GDP iko wap sasa😁😁😁😁
Kama mwanza pekee Kuna vivuko bora, vingi na vizuri kuliko Kenya nzima si ni GDP ya kwenye makaratasi 😂😂😂Wacha wee usinambie
View attachment 1353826
Masikini pale likoni haipiti wiki jipu lazima libutuke heheheh alaf wako hapa utaskia millionares😁😁Kama mwanza pekee Kuna vivuko bora, vingi na vizuri kuliko Kenya nzima si ni GDP ya kwenye makaratasi 😂😂😂