Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubungo mawasiliano city bus stage very clean
Screenshot_20200209-215649_YouTube.jpg
Screenshot_20200209-215426_YouTube.jpg
Screenshot_20200209-215627_YouTube.jpg
Screenshot_20200209-215441_YouTube.jpg
 
Kibera wanaishi watu laki mbili na nusu lol iyo ni zaidi ya wakazi wote Moshi municipal ,

Sasa kama kweli mnaakili mnakwama wapi kuondoa iyo slum? Mnamiradi mingi sana kenya kwann hamjaweza kubadili taswira ya kibera ambayo inawapa doa ,akili zenu mnazitumia kuvuka barabara tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibera wanaishi watu million mbili na laki tano bro 60% ya wakazi wa Nairobi wapo kibera

 
Huyu mzee naye aache uzushi! Zile nyimbo za kuhamia Dodoma zimeishia wapi? Au ndo kupunguza gharama huku kusafirisha mawaziri na maofisa wa Wizara na serikali kila siku kuhudhuria uapisho Magogoni! Awe mkweli uhamisho wa serikali Dodoma ulikuwa changa la macho! Binafsi sijapenda kukengeuka na kugeuka kwake huku juu ya suala zima la kuhamia Dodoma! Akakae Dodoma kama baraza lake la Mawaziri linavyoishi huko!
Mimi binafsi napenda ikulu zote Dar na Dodoma ziwe active maana Dar bado ni ya kimataifa na mabalozi wapo hapo
 
One pic kilimani upper hill na CBD ndani😁😁😁
CBD naona mtindo ni Chipsi mayai Tena nje ya Zile towers zenu mbili.
Screenshot_20200209-220158.png
images (12).jpeg


Hapa naona lami iko kwa highway huko kwingine kwa wananchi ni vumbi na matope
2301909_Screenshot_20200209-213228_YouTube.jpg
 
CBD naona mtindo ni Chipsi mayai Tena nje ya Zile towers zenu mbili.
View attachment 1352599View attachment 1352600

Hapa naona lami iko kwa highway huko kwingine kwa wananchi ni vumbi na matope
View attachment 1352601
 
Idadi ndogo sana ukilinganisha na 6million slum dwelling population of Dar ea sluum City slum.
 
Back
Top Bottom