hapo ndipo unapo wauwa washamba wakikenya maana wanakazania apartment mbona hawaleti mijengo ya nyumba za raia wanaomiliki houses....au kibera pekee bdyo wpo wanaomiliki ....nyumba wengine wote waliobaki ni wapangajiwakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.
asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.
that being said,i present to you a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
more photos are coming. stay tuned.
tuanze na hii tunataka maisha ya nyumba halisi zinazomilikiwa na mkenya mmoja mmojakutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.
asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la Kikuyu.
that being said,i present to a sample of random photos showing private houses owned by common people of dar es salaam.
Edu yaani trip ya kwanza to Mombasa has already kicked off..?Two days to go, see our ladies ready to hit the rails
πππππππ mwaka mbaya huuIt has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
hahahahaha... kwa taarifa yako, hawa wakenya wote wanaokomenti hapa ni wapangaji waliopanga katika nyumba zinazo milikuwa na wakikiyu wachache pale Nairobi.asa ukitataka kuwakamata wakenya asa wanaojifanya wanapiga kelele kuhusu nairobi ndyo hapo....jamani tunaomba kuziona nyumba za mtu mmoja mmoja.....maana kutwa mnazionhesha apartment....sisi tunataka pia picha za mitaa yenye nyumba zinazomilikiwa na mtu mmoja mmoja
najua hamna kama mnazo ziwekeni tuzione
we mshamba wakikenya mmeleta hapa nyumba za maboss wenu ama napenda kuziita hostel ....hebu leteni na nyumba ama mitaa yenye nyumba zinazomilikiwa na mmoja mmoja.....nyie bado sana aisee ni maskini na mtapanga mpaka kiama kuanzia mama mpaka vitukuuIt has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
wewe endelea tu kutazama picha huku ukiji-console,you have nothing to contribute.It has moved from comparing the two cities to individuals..
.Tanzanians mko na issues kwelikweli. Endeni Nairaland muone vile watu hureason
ha haaa hizo sare ni vituko.....ukizitoa kofia wanakuwa ni makondakta wa DarEdu yaani trip ya kwanza to Mombasa has already kicked off..?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Kwenye nyumba za wakazi wa kawaida utakimbiza wa Kenya humu
Maana wao wamezoea zile za kupanga wanazo tuma humu zimefanana kama dormitory za primary's schools
hawa mim nawaambia leo tunataka watuonyeshe dizain ya mitaa kama yetu kwa wanaomiliki raia wakikenya nyumba moja moja ili tuwacheke vizuri maana tokea thread nianze kuifuatilia sijawah ona zaidi naziona apartment zao tu ama hostel ...leo tuwakabe tunataka street lyk masaki,oysterbay,mbezi,mbagala,kigogo.......maana hawazilet hapaπππππππ mwaka mbaya huu
asa mbona wanajikuta bora zaidi bila ya haibu.....hebu twende nao kwa hii sera watuleteehahahahaha... kwa taarifa yako, hawa wakenya wote wanaokomenti hapa ni wapangaji waliopanga katika nyumba zinazo milikuwa na wakikiyu wachache pale Nairobi.
hata Edward Wanjala(mtu mwenye njaa) nina uhakika wa 100% hana nyumba yake binafsi pale nairobi.kapanga kule dandora kwenye ka-one bedroom house.mwisho wa mwezi anaanza kutafuta sababu ya kumdanganya caretaker mkikuyu pale atakapo kuja kudai pesa yake.[emoji23] [emoji23]
wanaomiliki nyumba Nairobi ni elite politicians and some prominent business people only.
huu ukweli hata kaka yangu,mkongwe MK254 anaufahamu na hawezi kubisha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
baadhi wanajitutumia kujenga "ushagoo/mashinani" lakini sio Nairobi.kupata ardhi ya kujenga Nairobi sio jambo rahisi.
Unless someone posted this one, how could we forget it
NDINDA wakenya wamekimbia aiseee leo kauli mbiu tunataka watuonheshe mitaa ya wakenya wanaomiliki nyumba moja moja....maana wanatuleteaga apartment tu...Dar Es salaam City
wataleta zile zinazomilikiwa na wanasiasa na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa wanaoshi kule westland,lunda,ravington,karen n.k.asa mbona wanajikuta bora zaidi bila ya haibu.....hebu twende nao kwa hii sera watuletee
hyo shule ama ukumbi wa sinema acha masihara.....upuuzi...Unless someone posted this one, how could we forget it
INTERNATIONAL SCHOOL OF KENYA
View attachment 516170 View attachment 516171 View attachment 516172 View attachment 516173
LITE ACADEMY MSA
View attachment 516174