Ukosefu wa shughuli ya kufanya hadi unatafuta comments za 2016 😂😂😂
shida serikali ya magu ina allergy na uwekezaji wa majengo,hii miradi ya nhc,nssf etc imesimama toka anaingia na haieleweki lini itaanza tena,nssf wametangaza kupiga mnada huku wabunge wakilia lia bungeni serikali itoe pesa kwa nhc wamalizie miradi
Unajua sababu kubwa ni nn mikataba mibovu ilikua na faida kwa nchi mradi wa billion 10 mtu anaandika billion 25 alaf unataka waachiweshida serikali ya magu ina allergy na uwekezaji wa majengo,hii miradi ya nhc,nssf etc imesimama toka anaingia na haieleweki lini itaanza tena,nssf wametangaza kupiga mnada huku wabunge wakilia lia bungeni serikali itoe pesa kwa nhc wamalizie miradi
Wangekamilisha hii miradi ingetoa sura nzuri ya jiji
Tatizo ilifika mahali wastaafu walikuwa hawapati mafao kwa hiyo new audit ilihitajika kuona wapi magumashi yalifanyika kwenye mikataba!shida serikali ya magu ina allergy na uwekezaji wa majengo,hii miradi ya nhc,nssf etc imesimama toka anaingia na haieleweki lini itaanza tena,nssf wametangaza kupiga mnada huku wabunge wakilia lia bungeni serikali itoe pesa kwa nhc wamalizie miradi
Wangekamilisha hii miradi ingetoa sura nzuri ya jiji
What's the name and size? Juu nyinyi hamnanga malls.Tafuta mall kubwa kama hii eldoret ukipata nitag[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] moshi baby
View attachment 1345123View attachment 1345124View attachment 1345125View attachment 1345126View attachment 1345127
Hata kama tunapenda madini yetu ila architecture zingine sio nzuri huu ndio ukweli hii haivutiiTegemea povu litakuishia hapa SGR itakua first floor hebu imagine hakuna kuteremka ngazi 🤣🤣👇👇
View attachment 1340266View attachment 1340267
Mdogo mdogo 👏👏👏👏👏
Hii ni mara ya ngap unauliza upumbavu wako😁😁😁😁😁😁
kwangu mimi stand ya mabasi ya mbezi ni nzuri kimuonekano kuliko hii ya sgrHapa Utalia Mpaka yesu ashuke
View attachment 1340306
That's ur opinion mzee mimi sioni the use of Mnara at Mombasa terminus!kwangu mimi stand ya mabasi ya mbezi ni nzuri kimuonekano kuliko hii ya sgr
Just like I said, it is not a mall. The building only have a supermarket, nothing else. Anyway this is Rupa mall, Eldoret.Hii ni mara ya ngap unauliza upumbavu wako[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nssf complex moshi
It's good you have used the word "kwangu". Meaning it's your opinion and you are entitled to it.That's ur opinion mzee mimi sioni the use of Mnara at Mombasa terminus!
Huyo chizi achana naye..anajifanuya anajua vitu kumbe kichwani emptyDude, naandika ninacho kifahamu na kukijua na kukiona kila siku na sio Vitu vya kuadisiwa vijiweni kama wewe,
Mimi ni mmoja kati ya youtubers wakubwa ukanda huu,
Muda huu naangalia reports hapa
Tanzania niko na views 358,387 Es $215.07
Then Kenya views 254,137 Es $70.46
Cost per click Tz iko 0.04
Natamani sana inge kuwa sio hizi fake Id Angalau ufike ofisini kwangu uje kuondoa huo ujinga kichwani
wtf domestic flights?Simba is just surviving coz of the omani Arab called Dewji......yanga is as broke as hell for your information. Infact there's no tanzanian club that uses domestic flights to other cities....Gor has money but Rachier and co steal with no mercy.But on matters competitive Tanzanian clubs are just good within tanzanian border....outside of Tanzania nobody even knows of their existence
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanapenda kuficha vichwa vyao kwenye mchanga.Huyo chizi achana naye..anajifanuya anajua vitu kumbe kichwani empty
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe 622 apprtments😁😁😁👇👇👇 each building 8 floors