Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahhaha yani wamekosa raha mm nakwambia huu mwaka ekeni maneno yangu kama akiba mama mutawaona humu mutakuja nambia🤣🤣🤣🤣
Nimekumbuka msemaji mkuu alivyo kuwa anazungumzia aina ya vichwa na mabehewa ya treni waliyo yaagiza alisema "Kuna nchi yamewakuta" 😂😂😂 treni zao ni mafuta mazito tu.
 
Kuna engineer humu ndani waku design flying toilet za kibera ametuambia tusimamishe ujenzi hapa🤣🤣🤣🤣👇👇👇
Screenshot_20200130-002402_YouTube.jpg
Screenshot_20200130-002315_YouTube.jpg
 
Inachekesha sana pale mtu ambaye station yao wanaingia ndani halafu wanapanda juu halafu wanashuka chini tena kupanda treni anakuja hapa kujifanya expert wa majengo ambayo yamejengwa kwa PURPOSE na sio show. SGR station ya Dar kwanza ni kubwa kuliko ya nairobi, pili ina escalators, lifts na stairs ku-accomodate watumiaji wa aina zote. Tatu iko mjini kati kwa hiyo ni rahisi kumove around. Nne itakuja kuunganishwa na BRT system. Tano inasupport both MGR na SGR trains. Sita imeinclude businesses ili iwe sehemu ambayo watu wanaingia na kutoka kila wakati. Kiufupi hii station ni LANDMARK. Wakenya mpo?
 
Kusherehekea mtu kucheza aston villa....kweli mko nyuma bana.Ile victor wanyama street bado iko....View attachment 1340255

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mtanzania mwenzetu na tunamkubali na kumtakia mafanikio zaidi,
Timu anayochezea ikicheza tutajumuika pamoja kumtazama Mtanzania mwenzenu,
Michezo huleta watu pamoja,
Michezo huleta upendo,
Nyie endeleeni kubaguana na kudumisha ukabila wa kuchukiana.
 
Just accept that haiko and move on Icho, nobody will came you my friend. Even your padlock won't kidnap you for spending the truth.
Nimekwambia nitakuketea kwa muda wangu sio ww kunipangia muda au nn cha kufanya kama nimeeza kukunyaga kua sio 1300 na nitakukanyaga tena kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mtanzania mwenzetu na tunamkubali na kumtakia mafanikio zaidi,
Timu anayochezea ikicheza tutajumuika pamoja kumtazama Mtanzani mwenzenu,
Michezo huleta watu pamoja,
Michezo huleta upendo,
Nyie endeleeni kubaguana na kudumisha ukabila wa kuchukiana.
Yani wana wivu wakipuuzi sana hawa hua miaka nenda miaka rudi hawaitakii mema Tanzania u can't imagine wanaombea hvo maisha yao🤣🤣🤣 lakini kwabahat mbaya wamekutana na chuma safari hii
 
Ushapima ...lol.Undeni hiyo station yenu ugly polepole.hiyo maybe tupatie kibwezi terminus
Inachekesha sana pale mtu ambaye station yao wanaingia ndani halafu wanapanda juu halafu wanashuka chini tena kupanda treni anakuja hapa kujifanya expert wa majengo ambayo yamejengwa kwa PURPOSE na sio show. SGR station ya Dar kwanza ni kubwa kuliko ya nairobi, pili ina escalators, lifts na stairs ku-accomodate watumiaji wa aina zote. Tatu iko mjini kati kwa hiyo ni rahisi kumove around. Nne itakuja kuunganishwa na BRT system. Tano inasupport both MGR na SGR trains. Sita imeinclude businesses ili iwe sehemu ambayo watu wanaingia na kutoka kila wakati. Kiufupi hii station ni LANDMARK. Wakenya mpo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inachekesha sana pale mtu ambaye station yao wanaingia ndani halafu wanapanda juu halafu wanashuka chini tena kupanda treni anakuja hapa kujifanya expert wa majengo ambayo yamejengwa kwa PURPOSE na sio show. SGR station ya Dar kwanza ni kubwa kuliko ya nairobi, pili ina escalators, lifts na stairs ku-accomodate watumiaji wa aina zote. Tatu iko mjini kati kwa hiyo ni rahisi kumove around. Nne itakuja kuunganishwa na BRT system. Tano inasupport both MGR na SGR trains. Sita imeinclude businesses ili iwe sehemu ambayo watu wanaingia na kutoka kila wakati. Kiufupi hii station ni LANDMARK. Wakenya mpo?
You know nothing, your stations are one of the ugliest in the continent. Nairobi station is wider than your cowshed and in terms of height they are the same. You can continue with your daily insults.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwambia mm nitakuletea evidence kama nilivokiletea 1600+ hehehe tulia sasa🤣🤣🤣 na 2100MW inakungoja hydro electric dam
Unangoja CCM ipike evidence ndio ulete hapa?? Useless danganyikans
 
Inachekesha sana pale mtu ambaye station yao wanaingia ndani halafu wanapanda juu halafu wanashuka chini tena kupanda treni anakuja hapa kujifanya expert wa majengo ambayo yamejengwa kwa PURPOSE na sio show. SGR station ya Dar kwanza ni kubwa kuliko ya nairobi, pili ina escalators, lifts na stairs ku-accomodate watumiaji wa aina zote. Tatu iko mjini kati kwa hiyo ni rahisi kumove around. Nne itakuja kuunganishwa na BRT system. Tano inasupport both MGR na SGR trains. Sita imeinclude businesses ili iwe sehemu ambayo watu wanaingia na kutoka kila wakati. Kiufupi hii station ni LANDMARK. Wakenya mpo?
Na hapo kua SGR Itakua 1st floor na MGR itakua ground floor so watu wa SGR watapanda treni huko huko juu hakuna kushuka chini😀😀😀
 
Back
Top Bottom