Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushoga, Uhuru wa kujieleza, uminyaji wa upinzani na wanaharakati ndio sababu kubwa, tutegemee majina mengine ndani ya siku zijazo, wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, hasa usalama wa taifa.

Katika hili tunastahili wala tusimtafute mchawi, dunia imepiga kelele sana kuhusu hali ya Uhuru na demokrasia, serikali imeendelea kupuuza na kutuaminisha kwamba mabeberu wanatuonea wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app

We na we jifunze kujitegemea mambo yako kwani us ban nininii? Business hainaga bifu, na km super power bado anatafuta kuexpand so tutataftana, point ni kwamba Ushoga ni NO, wengine tukumbuke mipaka ya kazi zetu na maslahi yetu, umoja amani na utii ni bora sana. Hata mm wangepiga ban nch nzima poa tu, alternative zipo nyingi za kuishi ndio maana zimbabwe hawakufa coz mtu ni mtu tu, MUNGU kwanza. Ushoga, usaliti ni big NO.


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Fanya ufungue account Google Earth then edit uweke slums kwa Dar utuletee hapa, maana unataka kutuambia Mtanzania ndio aliye edit akaweka slums Nairobi 😂😂😂😂
Ignorance is bliss. That's all I can tell you and your folks.
PhotoGrid_1580543909106.jpg

You can also read this article below if you can. Free knowledge
 
That's a self-defeating statement. Tunaficha ukweli gani kuhusu mitaa yetu while an earial photo is supposed to show the real picture of a large area from above? I know you you people loathe earial views and would use everything to dismiss them including asking us to zoom.

I will NOT stop posting those aerials anytime soon as long as I am still here so expect more from me. It shows your city in its nakedness, something you don't want the world to see about New York of Africa
That's why I asked you to identify different uses of these views, unfortunately your education system is useless for solving your problems, is designed to benefit whites and few elites. How can you use a pen to replace a needle?. You can't use aerial views to show a real picture of slums and poor sanitation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mjinga Kuna siku alisema kila mtu anaweza kuingia Google map aka edit na kuweka hizo slums,
Nikamuambia basi ingia then edit uweke slums Dar 😂😂😂 huwezi amini hadi leo hii bado hajaedit,
Yaani ukitaka wakimbie waambie wathibitishe kitu.
Now you know who the stupid one is between you and I
PhotoGrid_1580543909106.jpg
 
Kabla sija kujibu can you define what is an estate?
Also called housing estste, an estate is just a residential area or mtaa kwa kiswahili. What's so hard to understand there? Ama unafikiri lazima iwe large, single property worth hundreds of millions ndio iitwe estate? Read below maybe you'll understand
[/QUOTE]
Usituchanganyie kiswahili hapa, mtaa sio estate, mtaa mmoja unaweza kuwa na estates kibao. That's why mnaita hata slums estates
 
Acha kutupigia kelele na handle ya CCM, siasa2020 nd'o nini? These are sycophants handles that tries to confuse your head in order to vote in Magufuli in 2020. Everybody is aware that Tanzania is growing at 4%.

Sent using Jamii Forums mobile app
He forgets that's a political bait meant to hoodwink voters like him this electioneering year
 
These Tanzanians learn a lot from Kenyan. They didn't know that ndio maana they are yapping here.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti "mzungu sio mtu mjinga kuweka satelite angani na aone slum Nairobi na akose kuona Dar..." They even don't know that Google doesn't even have a satellite of its own. They get those images from third parties. The way these people reason can live you to regret why we even have them as neighbours. They are very green in most things yet want to appear as the most informed people on earth. What a waste of human brain!
 
Also called housing estste, an estate is just a residential area or mtaa kwa kiswahili. What's so hard to understand there? Ama unafikiri lazima iwe large, single property worth hundreds of millions ndio iitwe estate? Read below maybe you'll understand
Usituchanganyie kiswahili hapa, mtaa sio estate, mtaa mmoja unaweza kuwa na estates kibao. That's why mnaita hata slums estates
[/QUOTE]
Then what's an estate? Can you define it for me?
 
JKIA is more than terminals.......it's a mini city bigger than mbeya in Tanzania.........with an overpass road.....hiyo jnia apart from the elongated godown inakaa isiolo airport
buda, you know one thing I've noted about you is that you either got a windfall recently or just plain stupid. Now what will the countries that I have visited help in this discussion? will it take away the fact that JNIA is just a single terminal of JKIA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhimu sio kwenda au kutokwenda, muhimu ni kile wanachokisema na kukisimamia. Lakini ukweli ni kwamba USA ni nchi muhimu kuliko zote, ni China pekee inayoweza kuhimili misukosuko ya USA kiuchumi, wakiongeza " pressure" kidogo tu kwa Tanzania, lazima chupi zitaanza kutubana, lazima tuwe tinakubali kukosolewa, tuachane na kiburi cha kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hakuna ambaye huwa anamkosoa mmarekani au yeye ndio anajua kila kitu na killa anachofanya ni perfect?
 
Eti "mzungu sio mtu mjinga kuweka satelite angani na aone slum Nairobi na akose kuona Dar..." They even don't know that Google doesn't even have a satellite of its own. They get those images from third parties. The way these people reason can live you to regret why we even have them as neighbours. They are very green in most things yet want to appear as the most informed people on earth. What a waste of human brain!
That's why their education system is the worst in the continent. Their arguments are very shallow and immature.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom