Ushoga, Uhuru wa kujieleza, uminyaji wa upinzani na wanaharakati ndio sababu kubwa, tutegemee majina mengine ndani ya siku zijazo, wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, hasa usalama wa taifa.Sinimesema hapa ushoga ndio point kubwa sana ila wanajifanya kuwavisha waislam kofia waonekane wabaya
Your image is too bright which I believe is intentional to spruce up a few things 😂 😂 😂 Vitu Kwa ground ni tofauti.Looks like this hahaha "ESTATES" 😂 View attachment 1342872
Lakini joto ukiangalia kwa upande mwengine mabeberu sio watu wanaoitakia Africa manendeleo hili pia liangalie broUshoga, Uhuru wa kujieleza, uminyaji wa upinzani na wanaharakati ndio sababu kubwa, tutegemee majina mengine ndani ya siku zijazo, wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, hasa usalama wa taifa.
Katika hili tunastahili wala tusimtafute mchawi, dunia imepiga kelele sana kuhusu hali ya Uhuru na demokrasia, serikali imeendelea kupuuza na kutuaminisha kwamba mabeberu wanatuonea wivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta vitu kwa ground tuone kwann mzungu anaita kuna slums Nairobi na dar hakuna😀😀👇👇👇Your image is too bright which I believe is intentional to spruce up a few things 😂 😂 😂 Vitu Kwa ground ni tofauti. View attachment 1342970
Compare with an image Of Nairobi below covering a wider area View attachment 1342971

Your image is too bright which I believe is intentional to spruce up a few things![]()
![]()
Vitu Kwa ground ni tofauti. View attachment 1342970
Compare with an image Of Nairobi below covering a wider area View attachment 1342971
Kwahyo Data za IMF za GDP growth unaziamin..alfu za Debt to GDP ratio hauziamin..
Huwa mnanishangaza mkisema tuzoom. Tuzoom ndio nini ifanyike? 😂 😂 😂. Sawa basi ndio hiyo nimezoom ya Mabibo. Is there anything different? Mabibo bado ni ile ile tu ya dream houses thrown left right and center in the most disorganized and confused manner. Do you want me to zoom it further? 😂 😂 😂LOL kwanini huzoomin mabibo kama unavyozoomin slums-estates zenu? 😂
Kuna miradi mingine inafanyika kimya kimya ..Nyumba 644 hizo i hope bei zitakua poa kwa watu wa kima cha chini...Kweli mambo ni mengi ckuwa najua huu mradi
Hivi hujapona matatizo yako ya akili, au tatizo ni shule zenu kutoa kipaumbele kufundisha ukabila na kiingereza zaidi?. Unaambiwa zoom ili tuone mazingira na NYUMBA halisi, wewe unatuonyesha mabati na vigae kwa juu, sasa hapo utajua vipi hali ya NYUMBA, uchafu na kama kuna utiririshaji wa MAJI machafu?.Huwa mnanishangaza mkisema tuzoom. Tuzoom ndio nini ifanyike?![]()
![]()
. Sawa basi ndio hiyo nimezoom ya Mabibo. Is there anything different? Mabibo bado ni ile ile tu ya dream houses thrown left right and center in the most disorganized and confused manner. Do you want me to zoom it further?
![]()
![]()
View attachment 1342975View attachment 1342974
Now compare with Old Donholm below deep in eastlands Nairobi (also zoomed image).
View attachment 1342977
The difference is like black and white
ni ajabu sana (very rarely) mtu level ya RC kutajwa na moja ya viongozi wakubwa USA, lazima kuwe na kitu nyuma yake
Kumbe hata wewe umeona!! Nakuambia Kwa ground vitu ni different
The apple doesn't fall far from the tree, if you know what I mean. Secondly, why do you expect a miracle where a miracle can't and will never happen? How much do you want me to zoom more than I have already did? Mnataka nionyeshe hadi ndani ya hizo nyumba ndio mridhike ama? (which is impossible). Those are aerial shots from google earth. Unataka nionyeshe aje hali ya nyumba from an image taken at that angle zaidi ya vile nimezoom already? Acha kutumia akili kama bakuli na kulazimisha mambo. Your city is a mess. Accept and move onHivi hujapona matatizo yako ya akili, au tatizo ni shule zenu kutoa kipaumbele kufundisha ukabila na kiingereza zaidi?. Unaambiwa zoom ili tuone mazingira na NYUMBA halisi, wewe unatuonyesha mabati na vigae kwa juu, sasa hapo utajua vipi hali ya NYUMBA, uchafu na kama kuna utiririshaji wa MAJI machafu?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kaka, sisi ni mataifa machanga sana katika kila kitu, sio tu katika uchumi, technolojia, bali hata katika uwezo wetu wa kufikiria, na hilo la uwezo wetu mdogo katika kufikiria ndiyo linalotufanya kuendelea kuwa wachanga miaka mingi zaidi.Lakini joto ukiangalia kwa upande mwengine mabeberu sio watu wanaoitakia Africa manendeleo hili pia liangalie bro
Huwa mnanishangaza mkisema tuzoom. Tuzoom ndio nini ifanyike?![]()
![]()
. Sawa basi ndio hiyo nimezoom ya Mabibo. Is there anything different? Mabibo bado ni ile ile tu ya dream houses thrown left right and center in the most disorganized and confused manner. Do you want me to zoom it further?
![]()
![]()
View attachment 1342975View attachment 1342974
Now compare with Old Donholm below deep in eastlands Nairobi (also zoomed image).
View attachment 1342977
The difference is like black and white
Ndio sababu nikakuambia tatizo lenu ni Elimu yenu kufundisha zaidi ukabila na kiingereza kuliko MASOMO mengine.The apple doesn't fall far from the tree, if you know what I mean. Secondly, why do you expect a miracle where a miracle can't and will never happen? How much do you want me to zoom more than I have already did? Mnataka nionyeshe hadi ndani ya hizo nyumba ndio mridhike ama? (which is impossible). Those are aerial shots from google earth. Unataka nionyeshe aje hali ya nyumba from an image taken at that angle zaidi ya vile nimezoom already? Acha kutumia akili kama bakuli na kulazimisha mambo. Your city is a mess. Accept and move on
According to the eye of a tribalist personTanzanians are just sick......how they don't see how ugly and underdeveloped their ldc city of dar is is beyond human understanding
Sent using Jamii Forums mobile app