Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Apartments in Kigamboni Dar
13115993_1222578647760866_1526699291428157282_o.jpg
 
National stadium Complex Project includes
1.National Stadium main..60,000seats...
2.Uhuru stadium upgrades from 23,000 to 35,000
3.Indoor Stadium for games like Basketball..planned 10,000 seats..with white roof
4. Tanzania Theatre ..5000 seats planned ..building with Gold colour
stadium_zps7jithxfs.jpg

What we have now ..
0L7C1936 (1).jpg
 
Kwa picha izi Nairobi hakuna namna washindane na Arusha tu , yani Jana wamenishangaza shule wameshindwa kupaka rangi , ila ukweli ni kwamba Nairobi nyumba nyingi wameshindwa kupaka rangi mji ujaonekana mchafu sana
kenya cement ghali sana kaka😀😀😀😀😀😀 wananunua 770 ksh per 50 kg bag, wakati tanzania tunanunua 350 ksh tena inclusive vat of 18%
na kila siku cement inashuka tanzania
 
Hehe,kelele za nyani anayejaribu kuuparaga mlimbolimbo......
kenya cement ghali sana kaka😀😀😀😀😀😀 wananunua 770 ksh per 50 kg bag, wakati tanzania tunanunua 350 ksh tena inclusive vat of 18%
na kila siku cement inashuka tanzania
 
kenya cement ghali sana kaka😀😀😀😀😀😀 wananunua 770 ksh per 50 kg bag, wakati tanzania tunanunua 350 ksh tena inclusive vat of 18%
na kila siku cement inashuka tanzania
Kwa mstakabali huo ni aki kwao kujenga mabanda ya mabati na ata akijenga blocks sio rahisi aweze kupiga plasta ya cement , nyumba nyingi nimeziona Nairobi wameshindwa ku piga plasta ya cement matofali yamebaki ivyo ivyo yanaonekana majengo machafu
 
Kwa mstakabali huo ni aki kwao kujenga mabanda ya mabati na ata akijenga blocks sio rahisi aweze kupiga plasta ya cement , nyumba nyingi nimeziona Nairobi wameshindwa ku piga plasta ya cement matofali yamebaki ivyo ivyo yanaonekana majengo machafu
hafu wanakuja hapa wanatapa tapa...tu.......sumu yao mi naijua hawa majirani....wakupenda sifa kama wanawake vile
 
kenya cement ghali sana kaka😀😀😀😀😀😀 wananunua 770 ksh per 50 kg bag, wakati tanzania tunanunua 350 ksh tena inclusive vat of 18%
na kila siku cement inashuka tanzania
ndio maana asilimia kubwa ya wakazi wa nairobi ni house tenants for life.

wachache sana wanamiliki nyumba zao binafsi.

hii inatokana na uhaba wa ardhi, gharama kubwa ya kununua ardhi na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.

ni wakenya wa chache sana wanaomiliki nyumba zao binafsi kwenye urban settlement.waliobahatika kujenga wamejenga maeneo ya "ushagoo".

ushagoo=kenya vijijini/mashinani.
 
ndio maana asilimia kubwa ya wakazi wa nairobi ni house tenants for life.

wachache sana wanamiliki nyumba zao binafsi.

hii inatokana na uhaba wa ardhi, gharama kubwa ya kununua ardhi na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.

ni wakenya wa chache sana wanaomiliki nyumba zao binafsi kwenye urban settlement.waliobahatika kujenga wamejenga maeneo ya "ushagoo".

ushagoo=kenya vijijini/mashinani.
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom