Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20200120_182853.jpg
 
Hehehe wanashindana na Tanzania
Yaani hata kunyaland hawajawahi kufanya hichi kitu ndo wazee GDP ya kupikwa

Hata kagame alishawahi kuikataa GDP ya nchi yake,haiwezekani nchi inakuwa na GDP nzuri ili hali bado raia ni masikini wa kutupwa

Inabidi kufikiria mara mbili mbili kuwa na GDP kubwa sio kwamba ndo upo vizuri kiuchumi. Kunyaland msipende mambo ya kwenye karatasi yatawaibisha bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hata kunyaland hawajawahi kufanya hichi kitu ndo wazee GDP ya kupikwa

Hata kagame alishawahi kuikataa GDP ya nchi yake,haiwezekani nchi inakuwa na GDP nzuri ili hali bado raia ni masikini wa kutupwa

Inabidi kufikiria mara mbili mbili kuwa na GDP kubwa sio kwamba ndo upo vizuri kiuchumi. Kunyaland msipende mambo ya kwenye karatasi yatawaibisha bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Kenya haijawahi fanya heart surgery?? 😂 😂 😂 😂. You need to get out of LDC Tanzania. That's all I can tell you. Life doesn't start and end in Tanzania. Heart surgery ilifanywa kenya kabla hata mjue heart surgery ni nini
 
Sitaki maneno mengi thibitisha kauli yako
Eti Kenya haijawahi fanya heart surgery?? . You need to get out of LDC Tanzania. That's all I can tell you. Life doesn't start and end in Tanzania. Heart surgery ilifanywa kenya kabla hata mjue heart surgery ni nini
Leta taarifa inayoonesha kuwa mlishawahi kufanya sio unaropoka kwa kutoa kwenye bichwa lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom