Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Hiyo ni kweli tuusan, ila nilikuwa nikitaka kumuonyesha jamaa mwingine hapa!Nyie mnakua kama hamjasoma wakati mmesoma,jibu ni rahisi tu kama nyie mnajivunia station ya reli nasisi tunajivunia stand ya kisasa ya bus ambayo Hamna, you don't have what we got and that is what makes us being different, you should have learn b4 how to respond to your hommie in arguments
Mambo mengi yanayoweza fananishwa hapa hamyajibu sababu hamwezi, Kwetu ambayo hatuwezi jibu ni machache, BRT na Stani ya basi tu!! Labda muweke bahari!!
Na sisi tukishindwa kujibu basi tunatii!!

