Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani kwa sasa Tanzania sio nchi ya nyie kushindana nayo ni Bora mujipange tu ila kushindana na Tanzania hio kusahau hakuna sector hata moja Tanzania imelala hakuna hata moja๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ na sector zote zimeinuka within 3 years yani ni motooooo๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ
 
IMG_20200116_160718.jpg
 
Si ndo maana JPM anapigaga ban bidhaa zao hawa washenzi! Counterfeit imezidi mara unga umeoza mara sukari iliyooza mara pads mara kuku chooni! Mungiki ni washenzi!
Maisha yao ni maigizo ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Naiomba serikali ya Tz iendelee kuagiza hz bus toka china hzo body anazotengeneza uyo muhindi wa kenya bora tuwape nyumbu watengeneze
mbona DART walishakatazwa kama unakumbuka mwenye kampuni UDART Kisena alipelekwa mahakamani yeye na mkewe kwa ku-breach mkataba na kutaka kusamehewa kodi! Haya mabasi ya DART yako very modern ISUZU Kenya haina technology hii!
 
Back
Top Bottom