Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ahahah yani umenichekesha sana juzi ulienda kisumu kwenye harus pale border namanga gari za Kenya zinazo kuja tz hazihesabiki yani kuna folen balaa lakini kwenda Kenya huchukui hata dakika 10
Usinichoshe ngoja nitafute pesa ntakuja kutoa maelezo yanayofaa
 
Uahhaha nilitaka kukushauri hvo hvo kua badala kupoteza nguvu kuongea upupu ni Bora utafute pesa kwanza😀😀😀😀😀
Akiwa kwenye hili jukwaa kazi yake huwa ni kuponda tu 😂😂😂 kwenye majukwaa mengine huwa tabia ya kuponda sijui huwa anaipeleka wapi.
 
Ur sound is really like a black monkey from Nai-congo Kunyaland eti mTz heheheheeee certainly u live hear in promised land of milk and honey so far I guess u r a teacher from one of kindergarten in Dar very hopeless guy
Ukweli ni kwamba pesa hakuna,kila mwana EAC nje ya Kenya ukimuuliza unataka usafiri mji gani definately atakwambia Nairobi au Addis coz kuna vitu vya kwenda ku explore ukiacha mambo ya wanyama/nature kwa Tzn
Mtu kama mimi napenda utalii wa maendeleo sio wa nature sijui kuangalia nyumbu au kucheza bich no
 
Sijawahi kubaliana na aina ya miradi ya serikali ya ccm maana mingi ni miradi ya show off na kujitutumua ambayo kimsingi itasababisha hali ya maisha ya watzn kuwa ngumu kuliko kuwasaidia
Haiingii akilini kuhangaika na midege,sgr,sijui umeme wa matrioni wakati hata mgwatt 1360 za sasa zina soma surplus,hizo zingine zote za kazi gani? Madaraja ya kuvuka maziwa na bahari ya kazi gani? Hivi tunavyoongea barabara ni kero kubwa sana kwa nchi,mahospitali na shule usiseme kuna msongamano ni hatari yaani serikali inachojigamba ni kitu kidogo sana ukilinganisha na mahitaji halisi na kasi ya kuzaliana.
Juhudi zingeelekezwa kwenye miradi ya msingi ya kumsaidia mwananchi directly yaani kinachotusaidia watzn ni ahueni ya mazingira sio harsh kama Kenya,Ethiopia na nchi zingine za pembe ya Africa vinginevyo tungesaga meno
Hata siku moja akili ndogo haiwezi kuelewa yanayofanywa na akili kubwa, " That is the principle of nature". Kumuelewesha chizi utajipa kazi(Darassa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom