Ndio hii "nightclub" ya CitizenHiyo ni studio au night club????ππππππ
Ndio hii "nightclub" ya CitizenHiyo ni studio au night club????ππππππ
The cheapest Internet provider in the region
Kizungu kizungumkuti π π π. Hiyo tunajua. No man is an island, we all need each other in one way or another. Leaders from the west and east visit Africa so many times. This is just a lame excuse
Huyo uhuru anayesafiri ovyo amewafanyia nini cha maana zaidi ya kuwaletea mashida kibao na madeni yasiyolipika?Kizungu kizungumkuti π π π. Hiyo tunajua. No man is an island, we all need each other in one way or another. Leaders from the west and east visit Africa so many times. This is just a lame excuse
Sasa wewe ulikuja Nairobi ukahesabu idadi ya miti dhidi ya idadi nyumba na ukapata miti ni nyingi kuliko nyumba? And what's wrong with that even if it's true? That's why Nairobi is the headquarters of UNEP. It's by default. Ama ni wivu tu coz unataka Nairobi ifanane hivi? π πNani aliyebisha kwmb green spaces ni muhimu kwa maisha yetu tatzo hujanisoma vzr nmesema nyie mna msitu mnene kuliko majengo km utaangalia miti iliyokuwepo uko kwny cities za developed countries ni ya kimkakati ata nmeweka pcha hapa kukuonesha tofauti ya msitu wenu na wa developed countries ambapo we ndo huwa unapenda sn kutumia km mfano msitu uliokuwepo kwenu co wa kimkakati bali ni upungufu wa majengo![]()
Sisi sio kama nyinyi mnaosamehewa madeni. Tunakopa kwa sababu tuko na uwezo wa kulipa. Hata deni ya SGR tushaanza kulipa already. Usiwe na shaka nduguHuyo uhuru anayesafiri ovyo amewafanyia nini cha maana zaidi ya kuwaletea mashida kibao na madeni yasiyolipika?
Sio kwamba eti hamtaki kusamehewa ni kwamba Walio wakopesha hawataki kuwasamehe,Sisi sio kama nyinyi mnaosamehewa madeni. Tunakopa kwa sababu tuko na uwezo wa kulipa. Hata deni ya SGR tushaanza kulipa already. Usiwe na shaka ndugu
We all know who masters of denial in east Africa are. And by the way, what have I denied?Masters of denial
Mtu anasamehewa deni Kwa sababu hana uwezo wa kulipa, sio eti aliyemkopesha ameamua tu kufanya hivyo. Ni huruma mlionewa being that you are an LDC and you have so many problems to deal with. About reli kumalizika, you need to update your knowledge on current mattersSio kwamba eti hamtaki kusamehewa ni kwamba Walio wakopesha hawataki kuwasamehe,
Mngekuwa na uwezo wa kulipa msinge nyimwa mkopo wa kumalizia ile reli isiyoenda popote πππ
Ldc lakini inajenga miradi yake kibao bila kukopa kopa ovyo mfano mradi wa reli tena ya umeme Dar-Moro πππ lakini cha ajabu nchi inayojisifu kuwa na uchumi mkubwa eti hadi km 1 hadi ikope.Mtu anasamehewa deni Kwa sababu hana uwezo wa kulipa, sio eti aliyemkopesha ameamua tu kufanya hivyo. Ni huruma mlionewa being that you are an LDC and you have so many problems to deal with. About reli kumalizika, you need to update your knowledge on current matters
Acha uongoLdc lakini inajenga miradi yake kibao bila kukopa kopa ovyo mfano mradi wa reli tena ya umeme Dar-Morolakini cha ajabu nchi inayojisifu kuwa na uchumi mkubwa eti hadi km 1 hadi ikope.
![]()
U.S. Forgives Portion Of Kenya's Loan Debt (Published 1990)
www.nytimes.com


Your SGR is loan kuanzia mwanzo hadi mwisho. First phase was funded using loan from Turkey


Hahahaha, mnalipa Madeni kwa kukopa tena, hamna uwezo wa kulipa ninyi ni taifa masikini njaa njaa tu. Kama hata chakula mnategemea misaada, mtapata wapi pesa ya kulipa Madeni?, mchina alistukua na kukataa kuendelea kuwakopesha.Sisi sio kama nyinyi mnaosamehewa madeni. Tunakopa kwa sababu tuko na uwezo wa kulipa. Hata deni ya SGR tushaanza kulipa already. Usiwe na shaka ndugu
Source please, na kawaida mkopo ukitolewa kunakuwepo na siku ya kutia sahini mikataba mbele ya waandishi wa habari, kama ninyi mlivyofanya, unaweza kutuwekea clip au taarifa kwamba hili zoezi lilifanyika?Acha uongoYour SGR is loan kuanzia mwanzo hadi mwisho. First phase was funded using loan from Turkey
View attachment 1320412
Sent using Jamii Forums mobile app
Tomato sauce.Source please, na kawaida mkopo ukitolewa kunakuwepo na siku ya kutia sahini mikataba mbele ya waandishi wa habari, kama ninyi mlivyofanya, unaweza kutuwekea clip au taarifa kwamba hili zoezi lilifanyika?
Sent using Jamii Forums mobile app



Pesa za ndani indeed π π πLdc lakini inajenga miradi yake kibao bila kukopa kopa ovyo mfano mradi wa reli tena ya umeme Dar-Moro πππ lakini cha ajabu nchi inayojisifu kuwa na uchumi mkubwa eti hadi km 1 hadi ikope.
![]()
U.S. Forgives Portion Of Kenya's Loan Debt (Published 1990)
www.nytimes.com