Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unamuuliza wanjala swali hilo hata halijui maana yeye ansishi kibera pale ndiyo maisha yake hayo majengo anaishia kuyaona nskupigiwa picha tu
basi ngoja nimuulize hivi ,Wanjala "nauli ya kutoka korogocho hadi kibera shilingi ngapi?"
 
Wanjala hivi hizo apartments za Nairobi watu wanapanga au wananunua?
Huwa kuna houses tofauti tofauti,
-Townhouses, Villas, are build by a real estate company mostly, Nairobi, they are in gated communities. This are for sale.
-Appartments and Condominiums are build for sale or renting.
-Flats are mostly for rent
Kuna zones zina private posh homes still
 
unamuuliza wanjala swali hilo hata halijui maana yeye ansishi kibera pale ndiyo maisha yake hayo majengo anaishia kuyaona nskupigiwa picha tu
Unaona mkurupuko wako wewe?? Wewe huna akili ya kuuliza maswali au kujadili hoja, wape nafasi wenye uwezo huo, ukae pemebeni, maana hapa wewe umekuwa kama mtoto ambaye hawezi kaa kwenye meza na watu wazima
 
Huwa kuna houses tofauti tofauti,
-Townhouses, Villas, are build by a real estate company mostly, Nairobi, they are in gated communities. This are for sale.
-Appartments and Condominiums are build for sale or renting.
-Flats are mostly for rent
Kuna zones zina private posh homes still
Infact the real Nairobi nowadays is developing in Kiambu county...machakos county ...and Kajiado counties and partly muranga. ...that's why it's called metropolis with well over 8 million plus people if put together. Halafu I saw some consoling themselves ati personal land hehehe. .....they should visit syokimau, Thika and some parts of kiambu waone state of the art private houses
 
basi ngoja nimuulize hivi ,Wanjala "nauli ya kutoka korogocho hadi kibera shilingi ngapi?"
Nishukuru umesoma vocabulary moja leo toka kwangu!! Condominium bado hazijafika kule Dar, kule bado ni flats pale Kariokor
 
View of CBD in the horizon from Mountain Mall Kasarani
BzvOSgWCQAEQs6T.jpg
 
Infact the real Nairobi nowadays is developing in Kiambu county...machakos county ...and Kajiado counties and partly muranga. ...that's why it's called metropolis with well over 8 million plus people if put together. Halafu I saw some consoling themselves ati personal land hehehe. .....they should visit syokimau, Thika and some parts of kiambu waone state of the art private houses
Bado sana mlipewa ruhusa kuingiza miji yenu yote mikubwa mshindane na DSM , kwa hiyo usiogope ww leta miji yote
 
Back
Top Bottom