Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,953
- 27,930
Posta yote ni ndogo km piriton, wacha kelele hapaKitu you've to know ni kwamba, hizo mnaita Tower 3 zipo Posta ya Zamani katika barabara ya Sokoine
Halafu kuna Posta Mpya iko pale kuna ile stretch ilipo Mzizima Tower
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nimepongeza mademu wenu😀😀😀😀
Acha upumbav, nothing excites apo,fala mmojaDar is slum is a glorified village, can't even match WestlandsView attachment 1305469
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbav, nothing excites apo,fala mmoja View attachment 1306402
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie washkaji mnaichukulia poa Dar sio!??
Lakini ukweli ni kwamba hizo nyumba za bati zenye kutu cover a big are of DarHivi nyie washkaji mnaichukulia poa Dar sio!??
aisee, fanya kusahau kuhusu zile nyumba za uswazi zenye bati za kutu mnazo post hapa, heb jaribu kuuliza kitu kuhusu outside those places
1500 km sq sio tuu kuhusu tower 3 na zile nyumba za bati zenye kutu, kuna zaidi ya hizo mzee....
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuhusu sio mm ni world bank😂😂😂😂Lakini ukweli ni kwamba hizo nyumba za bati zenye kutu cover a big are of Dar
Umeshindwa kupata pics mpya ukaresort kurudia picha za kitambo?


That's why I have been saying that Dar is static. Vile mlijenga towers tatu 2014 hamjawahi jenga ingine tena. In EA it's only Nairobi and Addis Ababa that are developing rapidly, right now Addis have 8 buildings over 30 floors just like you but there are still numerous in excavation stage. Nairobi iko na 11 over 30 floors with others coming up.


