Ukija unambie πππππtulia bro, mbona nikuje bongo kuona slums
So this the reason why you didn't want to take photos yesterday and the day before. So leo umekutana na moja nje ya CBD unapiga hiyo bike moja picha mara kumi.
mko na mambo nyinyi. Bado watatumia hizo pesa hivyo tu hapa Kenya.Unlike in Kunyaland where they rip apart every chance to milk ur SGR in Tanzania they come to spend their chingching! Now aside a bed per night we will chop their airfare, their expenditure on souvenir plus their stay in Tanzania! They will no more come to Tanzania via Kunyaland! Compris mon Ami? Compreendao meu Amigo?
Nilikua na drive alaf inakua ngumu kupiga pics bodaboda wako ovyo sana kwenye driving ππSo this reason why you didn't want to take photos yesterday and the day before. So leo umekutana na moja nje ya CBD unapiga hiyo bike moja picha mara kumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio nifungwe?? hiyo trap sitaingia broUkija unambie πππππ
Nilikua na drive alaf inakua ngumu kupiga pics bodaboda wako ovyo sana kwenye driving![]()
Serious pale Fujo sana kwann niseme uongo bro ππππ kitu napenda huku mademu wenu wachangamfu sana hawana hiana πππHehehe nani? Ati Ichoboy akose kupiga picha anything bad about Kenya? Hiyo ni uongo my friend.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hta huipongezi kw usafiHii ndio CBD ya kisumu ni ndogo sanaTeargass nilikwambia baiskeli taxi zipo mpaka CBD
View attachment 1305970View attachment 1305973View attachment 1305974View attachment 1305975View attachment 1305976View attachment 1305977View attachment 1305979View attachment 1305981View attachment 1305983View attachment 1305984View attachment 1305985View attachment 1305986View attachment 1305987View attachment 1305988View attachment 1305989View attachment 1305990
Sasa wewe tutakufunga wapi labda ungesema unaogopa kuuliwa maana maisha mnayoishi Kwa slum ni zaidi ya jelandio nifungwe?? hiyo trap sitaingia bro
huo uchochoro unatokea Clock Tower af mbele kuna roundabout where unaweza kwenda Sokoine Drive ambako inanyoosha mpaka Posta ya Zamani
Kitu you've to know ni kwamba, hizo mnaita Tower 3 zipo Posta ya Zamani katika barabara ya Sokoine
Haswa mtaa wa Azikiwe Avenue na una Mafuta house, Golden Tulip, Four point Hotel Ramada Encore na Holiday Inn.Kitu you've to know ni kwamba, hizo mnaita Tower 3 zipo Posta ya Zamani katika barabara ya Sokoine
Halafu kuna Posta Mpya iko pale kuna ile stretch ilipo Mzizima Tower
Sent using Jamii Forums mobile app
Jangwani inafanyiwa kazi..under DMDP project ..Don't talk even about the sewer, dar has the worst sewer in the region,Leo tu mvua imenyeshe kwa dakika salasini Jangwani kukafungwa hakupitiki lazima magari yazunguke , work on the sewer line it's very sad for Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app