Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
Acha ujinga, the two places are called pipeline estateThe 2 fotos were not taken from the same place!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga, the two places are called pipeline estateThe 2 fotos were not taken from the same place!
All i say Majengo hayafanani!
Please go to twitter then search Pipeline Estate, you will get both after and before upgradingHapa ni sehemu mbili tofauti, angalia upande wa kushoto kwa mbele juu, NYUMBA hazilingani, hata rangi ya hizi NYUMBA ni tofauti kati ya hizi picha mbili. Bado hiyo barabara haijatengebezwa, acha kutudanganya.
Sent using Jamii Forums mobile app
All i say Majengo hayafanani!
I don't think so!
Huyo jamaa ni mkenya mwenzenu, amepitia sehemu muhimu za Nairobi, wacha kulialia, hiyo mitaa aliyopitia ndio mitaa muhimu sana kwa Nairobi City, hiyo ndiyo " active areas for middle income Nairobians", sasa wacha kulialia, hayo maeneo ni sawa na Posta na Kisutu hapa Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache tubakie na magofu yetu ninyi mkiendelea kupiga porojo ambazo hazinamaanaHeheeee!!nionyeshe kitu cha mana kando ya hzo zenu tano bora
Mnajengewa magofu na ccm tu, kisha mnadanganywa kupitia twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi wale jirani walikuwa wametuchosha na picha ya pili? Are you happy now?View attachment 1303137View attachment 1303138
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya picha kutumwa ndo unadai kuwaonea hurumaacheni kupiga picha makazi ya watu maskini afu mnakuja kuponda huku jf ,mnafanya dhambi hata nao wanatamani kuishi vizuri
Na mnatamani serikali yetu itoe ruhusa ili mmiliki ardhiTzn ingewaruhusu wakenya kuingia na kumiliki ardhi wangeichangamsha sana bongo na watz coz wako aggressive kwenye utafutaji huu ni ukweli mchungu coz wako maskini sana ni vile kwao kumiliki ardhi na uje upate ni ngumu sana tofauti na tzn ndio maana ukizaliwa maskini huko kutoboa ni ishu na uhalifu lazima uwe juu ni kama arusha inakopi hali hiyo.
Cha ajabu hawaitamani over 500,000 hectares of idle land ya Kenyatta family! From simple ideology I can tell the idiot is a Kikuyu living in a squatter as a result of being squeezed out by historical land injustices! And yet he can never dare to utter a word against the "quo status".Kisa kwenu amruhusiwi kumiliki ardhi ndo maana mlikuwa mnatakat mkimbilie tz kwa hilo mmefeli vijana wa kunya landNa mnatamani serikali yetu itoe ruhusa ili mmiliki ardhi
Kwa hilo wewe sahau umiliki ardhi kama nani wakati wewe ni mgeni tu wakuja na kusepa zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Tom Mboya na Mwaikibaki roads sio maeneo muhimu kwa Nairobi?, nitajie maeneo ya Nairobi down town ambayo ni zaidi ya hizo sehemu mbili hapo Nairobi kwa " level ya middle class areas.
Sent using Jamii Forums mobile app