komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Yani mchina kawastiri vibaya sana tena mumshukuru sana maana Mungelia machozi ya mbwa koko![]()
The specifications of those flyovers are different because of their purpose. One flyover is built not to disrupt traffic beneath while the other is to divert traffic.
Labda wanataka ziwe na kimo cha kindergarten27 haitabadioisha maana hata ulazmishe VP yani hilo jengo kwa macho tu ukiangalia still unaona KICC ni refu kuliko CBK bado unataka kulazmisha nn hapo😂😂😂😂👇👇👇
View attachment 1296675
Haha kwani GDP yenu imesaidia nn apo nyang'au land hadi mchele mletewe msaada?Mtaongeaaaaa....mwisho wa mwaka report
Kenya gdp $115 billion
Tanzania gdp $67 billion
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kwani GDP yenu imesaidia nn apo nyang'au land hadi mchele mletewe msaada?
Sent using Jamii Forums mobile app
GDP ya kwenye makaratasi.



Unataka mimi nikuambie wakati wewe mwenyewe na serikali yako ya wakora mnajua mlipo kopa
Mkifungwa mnasema useless tournament mkishinda mnashangalia wtfTumenyorosha Taifa starspovu zije sasa
Kweli kabisa mimi nilikuwa nawaona wanavyojisifia na shirika lao KQ nikazani ni bonge la shirika linaloshindana na Ethiopia airlineYani hawa watu ukiskia anaongea unaeza Kenya iko Europe kumbe uozo mtupu alaf kitu unaeza shangaa wanaeza tumia nguvu nyingi kusifia kitu wasionacho![]()
Ndio shida yao hadi media zao wakifungwa hawapost,
Mmeletewa facts kq ina ndege 40, 20 wame lease na ishirini wanamiliki...Unataka mimi nikuambie wakati wewe mwenyewe na serikali yako ya wakora mnajua mlipo kopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Subutu...muifunge harambee stars kw uwezo upi huoNdio shida yao hadi media zao wakifungwa hawapost,
Juzi tuliwafunga sijaona wakipost![]()
Hapo chini wanasema Afreximbank n Standard Chartered bank!
Ushaanza ubishi wako wa kitoto,
Wewe jama hebu nifanyie wema uokoe ndoa yako ipo njiani kuvunjikaFrom 34 to 62 within 4 yrs
Mmeletewa facts kq ina ndege 40, 20 wame lease na ishirini wanamiliki...
Sasa nynyi mmesema ya kwamba kq wanamiliki ndege 3 halafu wamekopa 17
17+3 ni 20...na wakati kq inaendesha ndege 40, sasa nataka utuonyeshe hzo ishirini zimeenda wapi...
Sent using Jamii Forums mobile app