Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi KQ maana yake ni nini coz haiendani na long form ya kenya airways

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni code zinatolewa na Taasisi kubwa kabisa duniani zinazohusika na usafiri wa Anga ambazo ni IATA na ICAO....IATA ndo wenye hiyo code Kenya Airways ya kwake ni KQ wakati Air Tanzania the wings of Kilimanjaro yakwetu ni TC.
IATA inadeal na Airlines wkt ICAO inadeal na usalama wa usafiri wa anga kwa ujumla.
 
Hizi ni code zinatolewa na Taasisi kubwa kabisa duniani zinazohusika na usafiri wa Anga ambazo ni IATA na ICAO....IATA ndo wenye hiyo code Kenya Airways ya kwake ni KQ wakati Air Tanzania the wings of Kilimanjaro yakwetu ni TC.
IATA inadeal na Airlines wkt ICAO inadeal na usalama wa usafiri wa anga kwa ujumla.
Ah sawa kiongozi nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni code zinatolewa na Taasisi kubwa kabisa duniani zinazohusika na usafiri wa Anga ambazo ni IATA na ICAO....IATA ndo wenye hiyo code Kenya Airways ya kwake ni KQ wakati Air Tanzania the wings of Kilimanjaro yakwetu ni TC.
IATA inadeal na Airlines wkt ICAO inadeal na usalama wa usafiri wa anga kwa ujumla.
It's because KA was already taken by another country
 
Hizi ni code zinatolewa na Taasisi kubwa kabisa duniani zinazohusika na usafiri wa Anga ambazo ni IATA na ICAO....IATA ndo wenye hiyo code Kenya Airways ya kwake ni KQ wakati Air Tanzania the wings of Kilimanjaro yakwetu ni TC.
IATA inadeal na Airlines wkt ICAO inadeal na usalama wa usafiri wa anga kwa ujumla.
Ila nimekuja kufuatilia hiyo KQ kama vile ni share holder kwenye kenya airways ana 38%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hata kama internet ni expensive, we make the most out of it si kufuatilia tu udaku wa WCB

 
Kwanza ukubali hii kitu tishio Africa mashariki na kati😂😂😂👇👇👇


Hehe,what of this,itakuwa tisho Africa yote,11km flyover +15km expressway with 10 interchanges
1564658267494.png
1564658408704.png
1564658306736.png
1564658473913.png
 
Back
Top Bottom