Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Mtavuna mlichopanda kama mlitegemea kuzitapeli ndege za shirika la EA airways na mkafa ikiwa angalia sasa mavuno yake kwa kile mlichokitapeli mnaendesha shirika lenu kwa hasara
Na bado mtaendelea kupata hasara hadi pale mtakapotubu dhambi zenu za kuiba ndege za EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado mtaendelea kupata hasara hadi pale mtakapotubu dhambi zenu za kuiba ndege za EA
Sent using Jamii Forums mobile app


