Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Garden city youth training centre coming up
011-1.jpeg
grid02.jpeg
garden-trial.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe wa korido za ikulu ndio wajua hivyo ila sie wa huku grassroot hatuoni hiyo usemayo
Barabara ya km 300 utajenga km 30 kila mwaka utamaliza lini? si hadi Yesu arudi sasa
si kila kitu ukitakacho asa kilichopo kwako kifanuike kwa vile utakavyo....
unajua kuna km ngapi za barabara mpya zinazojengwa nchini asa mikoani..? na hiyo sehemu iliy9jengwa km 30 baada ya 300 niwapi?

ongea kwa fact,,,usiongee kiutoto

hebu fuatilia miradi ya barabara inayoendelea kisha uje na hoja,,,,haiwezekaniki kila sehemu ijengwe barabara utakavyo kila kitu kinaenda kwa process ndiyo maana kuna project za ujenzi wa barabara zinaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa impacts za hizo projects kwenye uchumi wa nchi na mtu mmja mmja ni sawa na barabara au unajichekesha kwa sababu hulipii sauti na mdomo ni wako?
Afu usinilishe maneno sijasema hazina impacts yoyote ila nimesema hazina impacts kubwa ya kuchochea maendeleo ya mtu mmja mmja na taifa kama roads,hizi reli na ndege zimekuwepo miaka yote na zilijifia kinachobadilika hapa hasa reli ni speed tu..
chizi umerogwa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki za nini mimi naelezea kilichopo tena kwa mujibu wa vyanzo vya serikali kama tanroads na Tarura ingia kwenye website zao utaona.Afu nimesha site baadhi ya barabara wewe unasema zinajengwa wakati sie tulio huku hatuoni,mfano kutoka chunya hadi Tabora kuna kilomita 500 serikali imempa kazi contractor kujenga km 40 sasa hiyo trunk road itaisha lini kwa mwendo huo? Serikali iweke nguvu zaidi kwenye barabara ndio zitatusaidia zaidi but kama unataka kubishana ushiinde endelea mwenyewe
kama upo chunya pia kuna wenzio tupo tandaumba huku tunahitaji km kama hizo ....hebu kuwa mpole kila kitu kinaenda kwa hatua ,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom