komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Vyuma vimekaza jomba wacha mipasho hapoAkili yako fupi sana, hasa pale mkipokea vichapo heavy
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuma vimekaza jomba wacha mipasho hapoAkili yako fupi sana, hasa pale mkipokea vichapo heavy
Hilo nalo nenoSisi tunapokea zetu. Sasa zile mlizolease mtapokea nini?
Amoured vehicle vs open vehicle!
Hahahah asante bro🤣🤣🤣Amoured vehicle vs open vehicle!
Kimsingi hizi dream houses zina nafuu zaidi kuliko za huko kibera,tatizo kubwa ni zinejengwa kwenye squatters na hili ni tatizo kubwa kwa Tzn inafaa ipime plots nchi nzima na kuwe na taight law enforcement kuzuia ujenzi holelaNa hizi dream houses zenu zina mpangalio wa nini? 😂 😂 View attachment 1288768View attachment 1288769View attachment 1288770View attachment 1288771
Wamezoea kuona watu wakipiga kelele Twitter wanaona kuna shida za ajab hapa. Nikama nchi itakuwa imesimama hiyo mwakani ama traffic itageuka overnight 😂 😂 😂Tanzanians be like....mwakani...mikakati...tutapanga....lol
Rais anamkubali sana huyo mlinzi mrefu hapo mbele aliyejifungasha vilivyo maana kila kwenye ziara lazima yuko nae na bonge fulani hivi huwa huwa hashiki silaha yoyote visible
Hatuna haja ya kuzipokea, bora tunaserve traffic yetu. Mengine nikama icing on the cake; si muhimu lakini ili kufurahisha macho unaweka tuSisi tunapokea zetu. Sasa zile mlizolease mtapokea nini?
mbona kutembea na jeshi nikama uko war zone na ni nchi yako, kwanza urban area kwa umati mahali security iko dhabiti? risk ya terror pia iko chini sana Tz. Si kwa ubaya lakini JPM suffers from "mtu mkubwa syndrome." He seems insecure about his leadership. He has to remind everyone that he is the C.I.C
Their license was cancelled. Shida yenu nikusoma tu headlines na kukimbia.Which Silverstone? This dead one?
![]()
Silverstone issues redundancy notice, cancels scheduled flight operations
Silverstone issues redundancy notice to staff, cancels scheduled flight operations after KCAA directive to ground the airline’s Dash 8 fleet.www.standardmedia.co.ke
So operating without licence? Isn't this the same airline an aircraft tyre sprang out of a landing gear while on the runway n full of PAX!? 😀 😀 😀 🙄Their license was cancelled. Shida yenu nikusoma tu headlines na kukimbia.
Naona hujaelewa somo bado rudi itizame alaf uliza akili yako vzr🤣🤣🤣🤣🤣mbona kutembea na jeshi nikama uko war zone na ni nchi yako, kwanza urban area kwa umati mahali security iko dhabiti? risk ya terror pia iko chini sana Tz. Si kwa ubaya lakini JPM suffers from "mtu mkubwa syndrome." He seems insecure about his leadership. He has to remind everyone that he is the C.I.C
Sa ninyi mnaleta picha ambazo ni aerial leta ambazo zinaonekana vizuri kwa ground ndo uendeleze ubishani