kifusi boy
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 1,141
- 1,752
Bro, this place is Manzese ni sehem ya watu wa hali ya chini kabisa kwa Dar kwahiyo sijui unataka paweje....Yes....i agree.who can oppose these high quality dreamhouses of dar slumView attachment 1288112
Af kingine sehem kama hizo na Tandale, Mbagala, Tandika, Keko n.k huwa zipo ovyo lakini ndani yake kuna watu pia wa kipato cha kati where utakuta nyumba za maana katika hayo maeneo

