Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haitaki nguvu nyingi.....Nairobi is dope
tapatalk_1576005382495.jpeg
 
Huelewi kinachoendelea, unaweza msaidia mwenzako pia....ama km hujaelewa muulize
Unataka kujua sehemu picha zote nimeweka uliza picha gani ujibiwe sio uniamrishe nifanye unavotaka wewe 😂😂😂😂 mwenzako kakimbia simuoni tena
 
Sifanyi kazi unayotaka ww kama unataka kujua na kufahamu picha zote nimekuekea mezani chagua alaf uliza ni wapi ujibiwe pimbi wewe
Hapa sikuja kuuliza ujinga, ukiamua kuweka pachiko malizia kila kitu..au unaogopa
 
Bwahahaaa!!nikuulize wewe km nani, km unaweka pachiko weka na jina kabisa..
Ulitaka kujua siku zote unauliza kama ndugu yako alivofanya nikamuaibisha hapa😂😂👇👇
Hii picha ulileta si Masaki?
View attachment 1288113
Ndio maana nikakwambia wewe ni fala sana hio ni msasani bwege wewe😂😂😂😂😂 unajifanya kila kitu unakijua kumbe nduza tu na masaki yenyewe ni kubwa sawa na Mombasa yote
 
Back
Top Bottom