Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,173
- 29,784
Wapi kasifia wazungu soma vizuri kisha tumia akili hapo kasifia moshi ni nzuri hadi wazungu wana papendaSo leo unasifia wazungu?![]()
![]()
Ukistaajabu ya Musa, utakutana na ya Walker!
Wapi kasifia wazungu soma vizuri kisha tumia akili hapo kasifia moshi ni nzuri hadi wazungu wana papendaSo leo unasifia wazungu?![]()
![]()
Ukistaajabu ya Musa, utakutana na ya Walker!
Wewe Manzi unamatatizo kichwani kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani ilikuwa na mifumo mikubwa ya reli tz kuna reli kuu 3 hii tunajenga ya NNE labda useme vilikuwa vimekufa siyo kuiga Kenya mfano ndege tumefufua tu tulikuwa nazo miaka ya nyumaTanzanians hungojea tufanye project then pia wacopy.........they are obsessed with Kenya ile kiajabu......they hate that they love Kenya so much and want to be like Kenya......conso Kenya......conso conso
Sijui kwanini wanawake wa Kenya wabishi sana kama huyu "V"Hivi huwa unafikiria unachoandika
Tanzania
Kenya
Ukabila umewadumaza akili hawa failed state.Sijui kwanini wanawake wa Kenya wabishi sana kama huyu "V"
Waangalie possibility za ku-invest Dodoma pia! Whoever puts up a bigger conference center of 5000+ people capacity will strike a jackpot!View attachment 1286147View attachment 1286148investment building for mzumbe university. DSM
Nina vitu vingi ngoja leo niishie hapa
I meant trending in countries, hapo pameandikwa trends for you iwe 'trending in Tanzania'
Hivi mbona wakenya wanalia sana kuhusu hili dili
ni mwendo wakugawa dozi mwanzo mwishoHizi tambo zinanifurahisha sana, WATZ wanasifika kwa kubonda wenzao huku WAKENYA wakisifika kwa kukimbia
Swala la michezo kaa mbali. Nyinyi ni wapenzi watazamaji tu. Has a Tanzanian ever won an Olympic gold medal in boxing?Hizi tambo zinanifurahisha sana, WATZ wanasifika kwa kubonda wenzao huku WAKENYA wakisifika kwa kukimbia
Tuletee yanga piaGor mahia ilishawah kufanya mambo kama haya
Watanzania mnatisha vitu vingi mnajenga wenyewe kwa Pesa zenu 🙏View attachment 1286147View attachment 1286148investment building for mzumbe university. DSM
Nina vitu vingi ngoja leo niishie hapa
View attachment 1286455View attachment 1286456View attachment 1286457View attachment 1286458View attachment 1286459View attachment 1286460View attachment 1286461View attachment 1286462View attachment 1286463View attachment 1286465View attachment 1286467View attachment 1286468View attachment 1286473View attachment 1286474View attachment 1286476View attachment 1286477
Ushanfukuza tayari😂😂😂😂😂Which part of Nairobi is this ? You drive to left or right in Kenya?
View attachment 1286567
View attachment 1286568
Umeulizwa huku au hujaona😂😂😂👇👇👇View attachment 1286455View attachment 1286456View attachment 1286457View attachment 1286458View attachment 1286459View attachment 1286460View attachment 1286461View attachment 1286462View attachment 1286463View attachment 1286465View attachment 1286467View attachment 1286468View attachment 1286473View attachment 1286474View attachment 1286476View attachment 1286477
Which part of Nairobi is this ? You drive to left or right in Kenya?
View attachment 1286567
View attachment 1286568
Kama ulikua unamaanisha huyu jamaa ni kenya ungebadilisha rangi ya hilo shatiOur enemies tanzania and somalia are working day and night to see us fall but we shall still prevail. View attachment 1284594