Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatuletea hapa vitu ovyo sana, leta vitu vinavyo onyesha pesa na maendeleo. Hii ikija Kenya ni project ya MCA (member of County Assembly); the lowest ranked elected public official. Na yuko kwenye county government, si National Government
Sasa mbona unamshambulia mkenya mwenzako 😂😂😂
 
Angalia hii video Wasikilize ndugu zako 😂😂😂


Wajinga ndio nyinyi kuskiza hawa majamaa ambao hata hawajasoma. In fact wanafanya hivyo ndio waconvince local government kutoa more funds za infrastructure wakule. Tunawajua na hizo meaningless trips za bench-marking wakule pia per diem. Alafu unangoja wakuje kutricize progress ndio JPM aanze threats?
 
Wajinga ndio nyinyi kuskiza hawa majamaa ambao hata hawajasoma. In fact wanafanya hivyo ndio waconvince local government kutoa more funds za infrastructure wakule. Tunawajua na hizo meaningless trips za bench-marking wakule pia per diem. Alafu unangoja wakuje kutricize progress ndio JPM aanze threats?
Hao wabunge wenu wamezungumza ukweli kabisa hapo hawajaficha kitu punguza wivu 😂😂😂
 
Hapo naii tu 3 mil out of 1 mil monkeys wanzishi Kwa dampo 75% sasa usiniambie nikupe link ya kwambamba Kenya kuna. Slum wakati wewe mwenyewe upo Kwa slum au unataka kuniambia wakaa Kwa slum ni matajiri

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Naisubiria hyo link ya world bank hapa, wacha kuruka ruka hapa km ngedere...

Nairobi kuna slums lkn dar ni slum, hvyo ni vitu viwili tofauti...ndio manake middle class wa nairobi pekeake ni wengi kuliko tanzania nzima
 
Hao wabunge wenu wamezungumza ukweli kabisa hapo hawajaficha kitu punguza wivu 😂😂😂
Mbona niwasikilie wivu wenzangu? Maono mnayo na hiyo we know and accept lakini kusahau kwamba Roma haikujengwa kwa siku is your problem. What you have done in Dodoma so far is insignificant. Even Tatu City which started the other day is way ahead. Mtajenga lakini ni nani atakuja kuishi huko, mtalazimisha watu kuuza majumba Dar? ever heard of Ghost cities? ask China, Rwanda na Angola. Economic activities precedes infrastructure. But you want to do it the other way round which is like gambling. You only need to plan, allocate land, create policies, and as the city grows, implement projects by the book.
 
Naisubiria hyo link ya world bank hapa, wacha kuruka ruka hapa km ngedere...

Nairobi kuna slums lkn dar ni slum, hvyo ni vitu viwili tofauti...ndio manake middle class wa nairobi pekeake ni wengi kuliko tanzania nzima
Nairobi is a Slumhub
Middle class ni issue ya kawaida
 
Mbona niwasikilie wivu wenzangu? Maono mnayo na hiyo we know and accept lakini kusahau kwamba Roma haikujengwa kwa siku is your problem. What you have done in Dodoma so far is insignificant. Even Tatu City which started the other day is way ahead. Mtajenga lakini ni nani atakuja kuishi huko, mtalazimisha watu kuuza majumba Dar? ever heard of Ghost cities? ask China, Rwanda na Angola. Economic activities precedes infrastructure. But you want to do it the other way round which is like gambling. You only need to plan, allocate land, create policies, and as the city grows, implement projects by the book.
Yaani umeandika insha lakini cha ajabu yote ni pumba 😂😂😂
 
Voodoo economics taught by ccm in udsm leads to such reasoning........your ugly underdeveloped Tanzania is nowhere near Ghana or Kenya.
In fact 70% of tanzanians still live in stone age hovels.....the only thing Tanzania has achieved is unity and that's it.
Ile umaskini umekithiri Tanzania na mamilioni ya watoto hata champali hawana huwa hamuoni ama ni blind patriotism na ujinga....smh
Bwaaaaahhh Ghana jidanganye
 
Sio kweli,sema uzuri wa mji pia na climate inaubeba,dodoma pakavu hakuna green kama hapo lakini barabara zipo na zinajengwa daily so maybe useme uzuri wa nakuru ni miti na hali ya hewa utaeleweka
uzuri si miti na climate, check my recent posts, it's the organization, cleanliness, economic vibrancy, infrastructure etc. Wacha tusubiri mwakani lakini 😂 😂
Check the malls
new mall.jpg

westside mall.jpg

west.jpg

naivas-pic.jpg
 
Noma sana pale kunakucha sana weekends

Noma sana, Nilienda Mwenyewe nikajikuta tayari nimekutana na kuzoeana Mademu wawili wenye pesa zao Za matumizi, tukajiunga, Tukala na kunywa na kucheza pamoja.
 
Website means accountability coz you must have the domains and linked accounts. If you misrepresent facts you are held liable.On the other hand......"who believes an unverified tweet"....seriously.
We kima acha kusumbua binadamu tumekuambia subiri mwakani utajua ujui
 
Party life in Nakuru. Deserves to be a city like asap
Club sebs
sebs.jpg

sebs1.jpg

sebs3.jpg


Platinum 7D
7d.jpg

7d1.jpg


Club 64
club-64.jpg

64club-1503316769.jpg
 
Yaani umeandika insha lakini cha ajabu yote ni pumba 😂😂😂
Najua ukweli wauma bro. Mnajenga ghost town 😂😂😂 nivile your government cannot be criticized but ukweli ni ukweli tu. Hao wajinga wanaitwa wabunge hawaezi sema ukweli. Wengine wamekwama Uganda wakienda kubench-mark. It's something we are fighting. Am sure they told them the same thing.
 
Back
Top Bottom