Mbona niwasikilie wivu wenzangu? Maono mnayo na hiyo we know and accept lakini kusahau kwamba Roma haikujengwa kwa siku is your problem. What you have done in Dodoma so far is insignificant. Even Tatu City which started the other day is way ahead. Mtajenga lakini ni nani atakuja kuishi huko, mtalazimisha watu kuuza majumba Dar? ever heard of Ghost cities? ask China, Rwanda na Angola. Economic activities precedes infrastructure. But you want to do it the other way round which is like gambling. You only need to plan, allocate land, create policies, and as the city grows, implement projects by the book.