Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaongea Kwa machungu kweli!! Hadi unarudiarudia maneno! πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Dawa imekuingia ila pole
Hebu nieleze nilifkiri unaniambia habari ya millionaires huku unemployment rate isiwe 40%πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Wacha kutuletea ukumbi wa mkutano wa sisiemu hapa ni kuiita Convention center. Unless the word convention center got a whole new meaning in Tanganyika
Uhahahhaa umepanic budaaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
That's not a convention center. That's CCM meeting room. If that thing is a convention center that what will we call KICC?
Ndio maana kila siku hua nakwambia wewe unafunza wachafu kichwani mwakoπŸ˜€πŸ˜€πŸ‘‡πŸ‘‡
images (39).jpeg
 
Tanzania GDP was $47b in 2016.
Tanzania GDP is $62b in 2019 with 7% annual growth. Now Mr. Economist can you please explain this to us in the simplest terms possible
Tueleze hapa mmetokaje kwenye 72b muelekee 99 wakat kila mwaka rate ya uchumi wenu unashukaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ au ndio yale mambo yenu ya jikoni kama kawaida
 
Tanzania GDP was $47b in 2016.
Tanzania GDP is $62b in 2019 with 7% annual growth. Now Mr. Economist can you please explain this to us in the simplest terms possible
Lets say Kenya grew 6% constantly from 2017-2019
And Tz grew constantly 7% from 2017-2019

Kenya 74bn usd in 2016
2017
74*0.6=4.4
74+4.4= 78.4bn usd

2018
78.4*0.6=4.7bn usd
78.4+4.7=83.1bn usd

2019
83.1bn usd

83.1*0.6=4.9bn usd
83.1+4.9=88bn usd

2020
88*0.6= 5.28bn usd
88+5.28=93.28bn usd ...haya hyo 99bn usd mmefikaje na hata 2020 bado hapo..

TAnzania...

2016 52bn usd
Lets say we grew 7% constantly
52*0.6=3.64bn usd
52+3.64=55.6 bn usd

2017 55.6bn usd
55.6Γ—0.7=3.85bn usd
55+3.85= 59.45bn usd

2018 59.45
59.45*0.7=4.1
59+4.1=63bn usd

2019=63bn usd ..sasa hatukuwa na 7% const ..ndo maana tupo 62 hapo sasa nyie 99 inatoka wapi
 
Lets say Kenya grew 6% constantly from 2017-2019
And Tz grew constantly 7% from 2017-2019

Kenya 74bn usd in 2016
2017
74*0.6=4.4
74+4.4= 78.4bn usd

2018
78.4*0.6=4.7bn usd
78.4+4.7=83.1bn usd

2019
83.1bn usd

83.1*0.6=4.9bn usd
83.1+4.9=88bn usd

2020
88*0.6= 5.28bn usd
88+5.28=93.28bn usd ...haya hyo 99bn usd mmefikaje na hata 2020 bado hapo..

TAnzania...

2016 52bn usd
Lets say we grew 7% constantly
52*0.6=3.64bn usd
52+3.64=55.6 bn usd

2017 55.6bn usd
55.6Γ—0.7=3.85bn usd
55+3.85= 59.45bn usd

2018 59.45
59.45*0.7=4.1
59+4.1=63bn usd

2019=63bn usd ..sasa hatukuwa na 7% const ..ndo maana tupo 62 hapo sasa nyie 99 inatoka wapi
Hao wamezoea kupigwa.
 
Tueleze hapa mmetokaje kwenye 72b muelekee 99 wakat kila mwaka rate ya uchumi wenu unashuka au ndio yale mambo yenu ya jikoni kama kawaida
Wakenya wanajificha Kwa kutumia shuka la upumbaavu hata hiyo $72bil ilikuwa feki wameshindwa kujenga sgr kufikisha Uganda Kwa Pesa ya ndani GDP ya Kenya ni $68bil tu
Nikama wanavyo sema Ghana imepita Tanzania kiuchumi wakati Ghana yote Kwa maendeleo nisawa sawa na dar + mwanza huwa nacheka sana hapo ndipo nadharau uchumi wa makaratasi
 
Wakenya wanajificha Kwa kutumia shuka la upumbaavu hata hiyo $72bil ilikuwa feki wameshindwa kujenga sgr kufikisha Uganda Kwa Pesa ya ndani GDP ya Kenya ni $68bil tu
Nikama wanavyo sema Ghana imepita Tanzania kiuchumi wakati Ghana yote Kwa maendeleo nisawa sawa na dar + mwanza huwa nacheka sana hapo ndipo nadharau uchumi wa makaratasi
Me huwa siamini hizi data zao za kwenye makaratasi, Kenya ukiondoka Nairobi au tuseme Central Kenya, huko kwingine ni kama jehanamu

Mikoa (counties) za Kenya karibu nusu haijaunganishwa kwa lami, hakuna umeme, hakuna maji, hakuna huduma za afya
 
Mwakani hiyooooo kunya Keisha habari yake
Wakenya wamejaribu mbele ya tz na kupata maumivu makubwa hivyo wakajaribu mbinu mpya ya kuikimbiza tz Kwa nyuma pia awakuweza !!!!
Walitangulia kuplan COW ikafa
wakatangulia kujenga sgr sisi tukaja na yaumeme walipo ona hivyo wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma wakasema wataelectrify SGR kelele za kujisifu kuwa wataweka Umeme kama yetu zikawa nyingi wakisema wataweza sisi tuliwaambia Kenya haina uwezo huo wakatuita bongolala hadi Leo wamekubari kuwa wameshindwa kutufukuza Kwa nyuma kwa sgr ya Umeme ,Pia wakatangulia kwenye flyover sisi tukaja Kwa nyuma wakatucheka sana kumbe flyover zetu zinazingatia SGR system wakabaki na maumivu wafanyeje wavunje flyover ili wajenge upya zenye kuzingatia brt wakagundua tumewashinda wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma kujenga mfumo wa brt hadi Leo wameshindwa .kilicho baki ni kuanzisha comedy inaitwa BBI
MWAKANI NDIYO ITAKUWA VYUNJA KAZI TUTAIPIGA KENYA "KO" Wakenya wote watachanganyikiwa na kuanza kunyosheana vidole vya macho wao Kwa wao
ujinga ni kupiga mdomo na hujui mbona SGR inajengwa vile inavyojengwa. Nenda karesearch kwanza
 
Lets say Kenya grew 6% constantly from 2017-2019
And Tz grew constantly 7% from 2017-2019

Kenya 74bn usd in 2016
2017
74*0.6=4.4
74+4.4= 78.4bn usd

2018
78.4*0.6=4.7bn usd
78.4+4.7=83.1bn usd

2019
83.1bn usd

83.1*0.6=4.9bn usd
83.1+4.9=88bn usd

2020
88*0.6= 5.28bn usd
88+5.28=93.28bn usd ...haya hyo 99bn usd mmefikaje na hata 2020 bado hapo..

TAnzania...

2016 52bn usd
Lets say we grew 7% constantly
52*0.6=3.64bn usd
52+3.64=55.6 bn usd

2017 55.6bn usd
55.6Γ—0.7=3.85bn usd
55+3.85= 59.45bn usd

2018 59.45
59.45*0.7=4.1
59+4.1=63bn usd

2019=63bn usd ..sasa hatukuwa na 7% const ..ndo maana tupo 62 hapo sasa nyie 99 inatoka wapi

Hawawezi kukujibu
 
Back
Top Bottom