Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii inaitwa moshi town chungulia uone maajabu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡note that is not a city


Moshi ni sehemu nzuri sana kuishi sema watu wengi hawajui. Nikija nyumbani kila sehemu utakuta wazungu wamejaa. Nikipata muda nitapiga picha za mitaa ya huku nishare.
 
Sababu ya slayqueen ni coconut juice na siyo anything meaningful
Najua Ingekuwa wanazungumza kuhusu kenya usinge waita slayqueen ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Alafu hivi Unafahamu mod wakigundua umefungua account nyingine baada ya id ya mwanzo kula ban na hii id mpya utakula ban ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huezi compare Nakuru na hiyo kijiji ama tungoje mwakani? Hamna hizo matofali na mnapiga mdomo. Na mkisema tu matofali yaonyesha hamjui maana yake. Elewa sustainable management ya construction waste na aesthetics. Kwanza huna haya kuleta hadi picha za shule? Dodoma inakaa Machakos. Na kwanza Nakuru majumba hayajengwi na serikali. The only hindrance to glory ni majumba yamewekwa limit ya 5 floors lakini bado inaenda kuwa city soon.
even before the matofali ilikuwa sawa
View attachment 1285126

Na bado kuna zingine

View attachment 1285101
View attachment 1285133
View attachment 1285105
View attachment 1285110
View attachment 1285114
View attachment 1285137
View attachment 1285139
View attachment 1285116
View attachment 1285119

The Nakuru county assembly

View attachment 1285120

View attachment 1285121
View attachment 1285122
View attachment 1285129
View attachment 1285131
View attachment 1285134
View attachment 1285135
View attachment 1285141
View attachment 1285142

View attachment 1285143
Moshi baby๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1825376_Moshi-town-155.jpg
images (42).jpeg
images (40).jpeg
images (41).jpeg
 
Huezi compare Nakuru na hiyo kijiji ama tungoje mwakani? Hamna hizo matofali na mnapiga mdomo. Na mkisema tu matofali yaonyesha hamjui maana yake. Elewa sustainable management ya construction waste na aesthetics. Kwanza huna haya kuleta hadi picha za shule? Dodoma inakaa Machakos. Na kwanza Nakuru majumba hayajengwi na serikali. The only hindrance to glory ni majumba yamewekwa limit ya 5 floors lakini bado inaenda kuwa city soon.
even before the matofali ilikuwa sawa
View attachment 1285126

Na bado kuna zingine

View attachment 1285101
View attachment 1285133
View attachment 1285105
View attachment 1285110
View attachment 1285114
View attachment 1285137
View attachment 1285139
View attachment 1285116
View attachment 1285119

The Nakuru county assembly

View attachment 1285120

View attachment 1285121
View attachment 1285122
View attachment 1285129
View attachment 1285131
View attachment 1285134
View attachment 1285135
View attachment 1285141
View attachment 1285142

View attachment 1285143
Hii ni moshi budaa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
 
Umeshinda ukinionyesha hili jengo mara milioni.....hakuna jipya
Uhahahhaa subiri tuingie kwenye miundombinu sasa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Nataka uniletee airport in nakuru nakuhapia kwa Mungu ukipata airport nakuru mm nafunga acc jamii forum๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Uhahahhaa subiri tuingie kwenye miundombinu sasa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Nataka uniletee airport in nakuru nakuhapia kwa Mungu ukipata airport nakuru mm nafunga acc jamii forum๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Moshi ya shisha au bhangi.....Moyale is way bigger and better than smoke
This is KCMC hospital gvt hospital ina zaidi ya 950beds iko moshi๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
images (46).jpeg
 
Back
Top Bottom