Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zanzibar towers U/C
78703193_10162410231300411_8956238707564740608_n.jpg


78967204_10162410231390411_9095267636454883328_n.jpg


79509413_10162410231600411_503680680341798912_n.jpg
 
Shida moja nyie huongea nikama hakuna kitu kinaendelea hapa Kenya. Kuimba mwakani kila mara nyie mko na idea kuna project ngapi ziko on progress Kenya? nyinyi naona upanuzi wa bara bara na slaughter house ni breaking news. Na pia corruption si kitu ambacho unaeza ondoa virahisi kwa democrasia changa. nenda Singapore utapata corruption hadi kwa ofisi ya PM. Na usidhani mtamaliza corruption anytime soon. Hivi hata mkiimba natural gas na madini haina impact kubwa kwenye economy yenu. Nenda katafute data
Mwakani hiyooooo kunya Keisha habari yake
Wakenya wamejaribu mbele ya tz na kupata maumivu makubwa hivyo wakajaribu mbinu mpya ya kuikimbiza tz Kwa nyuma pia awakuweza !!!!
Walitangulia kuplan COW ikafa
wakatangulia kujenga sgr sisi tukaja na yaumeme walipo ona hivyo wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma wakasema wataelectrify SGR kelele za kujisifu kuwa wataweka Umeme kama yetu zikawa nyingi wakisema wataweza sisi tuliwaambia Kenya haina uwezo huo wakatuita bongolala hadi Leo wamekubari kuwa wameshindwa kutufukuza Kwa nyuma kwa sgr ya Umeme ,Pia wakatangulia kwenye flyover sisi tukaja Kwa nyuma wakatucheka sana kumbe flyover zetu zinazingatia SGR system wakabaki na maumivu wafanyeje wavunje flyover ili wajenge upya zenye kuzingatia brt wakagundua tumewashinda wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma kujenga mfumo wa brt hadi Leo wameshindwa .kilicho baki ni kuanzisha comedy inaitwa BBI
MWAKANI NDIYO ITAKUWA VYUNJA KAZI TUTAIPIGA KENYA "KO" Wakenya wote watachanganyikiwa na kuanza kunyosheana vidole vya macho wao Kwa wao
 
You keep using a disparaging word to talk about a country......is that what they teach you down there in udsm...smh
Mwakani hiyooooo kunya Keisha habari yake
Wakenya wamejaribu mbele ya tz na kupata maumivu makubwa hivyo wakajaribu mbinu mpya ya kuikimbiza tz Kwa nyuma pia awakuweza !!!!
Walitangulia kuplan COW ikafa
wakatangulia kujenga sgr sisi tukaja na yaumeme walipo ona hivyo wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma wakasema wataelectrify SGR kelele za kujisifu kuwa wataweka Umeme kama yetu zikawa nyingi wakisema wataweza sisi tuliwaambia Kenya haina uwezo huo wakatuita bongolala hadi Leo wamekubari kuwa wameshindwa kutufukuza Kwa nyuma kwa sgr ya Umeme ,Pia wakatangulia kwenye flyover sisi tukaja Kwa nyuma wakatucheka sana kumbe flyover zetu zinazingatia SGR system wakabaki na maumivu wafanyeje wavunje flyover ili wajenge upya zenye kuzingatia brt wakagundua tumewashinda wakaanza kutukimbiza Kwa nyuma kujenga mfumo wa brt hadi Leo wameshindwa .kilicho baki ni kuanzisha comedy inaitwa BBI
MWAKANI NDIYO ITAKUWA VYUNJA KAZI TUTAIPIGA KENYA "KO" Wakenya wote watachanganyikiwa na kuanza kunyosheana vidole vya macho wao Kwa wao
 
Honestly tanzanians are you comfortable with such standards
tapatalk_1567199234954.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1539633552374.jpeg
    tapatalk_1539633552374.jpeg
    77.6 KB · Views: 5
Google is free bana......you keep bitching about dodoma and its been a capital city for 20 or so years........why does it still look villagish save for the few ghorofas that ccm has laboured to patch it up with.......how many malls does it even have?
Please try to quote the credible sources,
Usilete data zimeandikwa na Mike sonko hapa
 
Back
Top Bottom