Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mbona huko kenya foreigners wanauwawa Mara kwa mara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa mbona mumewekwa kundi la nchi hatari zaidi kuishi na kutembelea ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Jameni watu huuwawa kila nchi. Lakini bado watalii wanakuja, bado air traffic yetu iko juu. The only thing terror has done to this country is to push some tourists in your country ndio mpate hiyo $500m juu yetu. Ndiposa mko busy kusupport hilo kundi la Al Shabaab
 
Sasa mbona huko kenya foreigners wanauwawa Mara kwa mara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa mbona mumewekwa kundi la nchi hatari zaidi kuishi na kutembelea ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Is this what sisiemu has been feeding you lately? ๐Ÿ˜‚
 
Show me even by screenshot. Nyinyi mnaamka Na news za Kenya mnalala na news za Kenya. Hata saa hii kuna moja wenu ashaleta tweet ya news channel ya Kenya about that likoni tragedy a few minutes ago
Hahaha pitia kwenye hii forum uone namna wakenya wenzako wanavyoleta news za Tz humu,
Kila siku mnaleta nyuzi zinazohusu Tz huku alafu mnaacha matatizo yenu kuhusu kenya,
Tunaleta tweet zinazohusu kenya huku hadi mshike adabu na mjifunze kumind business zenu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sijafollow social networks za media zenu lakini nikiingia pale twitter search nikisearch kenya yanakuja news kibao.
 
Jameni watu huuwawa kila nchi. Lakini bado watalii wanakuja, bado air traffic yetu iko juu. The only thing terror has done to this country is to push some tourists in your country ndio mpate hiyo $500m juu yetu. Ndiposa mko busy kusupport hilo kundi la Al Shabaab
He's talking about "nchi hatari ya kuishi" yet we host the largest number of expats in the continent. He doesn't even know that Kenya hosts the biggest refugee camp in the world. He says all that forgetting that Kenya is the entry point in this region, hosting the continent's fourth busiest airport. He even forgets that tens of multinational companies have chosen "this dangerous country to live in" as their African or regional headquarter. Kweli sisiemu inawalipa vizuri
 
Jameni watu huuwawa kila nchi. Lakini bado watalii wanakuja, bado air traffic yetu iko juu. The only thing terror has done to this country is to push some tourists in your country ndio mpate hiyo $500m juu yetu. Ndiposa mko busy kusupport hilo kundi la Al Shabaab

 
Ile baridi iko hii town leo

UAP smogged.jpg
 
ni akili huna ama vipi kaka? Hapa naona ni waTz wanashare post za kutoka Kenya na si waKenya. Umeenda kwa hiyo forum ya Kenya ukaona wakidiscuss Tz lately? na kama wanadiscuss am sure it's just pointing out something good. Lakini nyie udaku tu kama busybodies wa mtaa. Fact ni kuwa Tz still has ages to reach mahali tuko. Hizo vitu mnaleta hapa it's an insignificant part of Kenya or Nairobi. Mkiona tunacomplain ni kwa kuwa we are pushing our leaders to deliver even more. That's what a healthy democracy does. Si kama nyie hapa hamuezi criticize government ila kusifu tu kama kondoo
Subiri mwakani mtalia zaidi hapo tu unalia na mwakani bado
 
Kwahiyo amtaki tu post news za Kenya bhaaaaaaaaawwww
Endelea kusoma namba
Have you seen a Kenyan here posting news from a news channel from Tanzania? You will never see. But how many times in a day do Tanzanians share tweets or facebook posts za media houses za Kenya? What does that tell you? Nyinyi hapa mnajua hadi magavana wa Kenya and their deputies wakati mimi hapa I don't even know the name of your vice president!
 
Shida moja na waTz ni chuki kwa foreigners ambayao haina msingi. Kenya is by far the friendliest country in this region. We accommodate every country bila pressure. But huko kwenu, am sure the first question JPM huuliza akiamka ni Kenya kunaendelea aje? kisha tutacompete nao vipi? ama tutawafungia vipi? hapa sisi kama kitu iko sawa we take it and force locals to catch up. While it might sometimes kill our local industries, we understand that innovation stems from such competition.
Unamkumbuka huyu mchawi โ€COW"
 
Have you seen a Kenyan here posting news from a news channel from Tanzania? You will never see. But how many times in a day do Tanzanians share tweets or facebook posts za media houses za Kenya? What does that tell you? Nyinyi hapa mnajua hadi magavana wa Kenya and their deputies wakati mimi hapa I don't even know the name of your vice president!
Km hujui jna la our vice president it's non of our business ni upumbavu wako cc waTz ni very curious we want to know more na ndio maana tunapga hatua kila kukicha kwasabu tunafaam ya kwetu na ya jirani zetu
 
wanafungua kwa kuwa mmewakera na misinformation na ignorance. But mostly no one bothers
we jamaa hivi ni mlevi wa chang'aa..? au unajifurahisha tu..uajua kweli unachokizungumza?[emoji110][emoji11][emoji16][emoji6][emoji6][emoji23][emoji44]
 
Hawa majamaa huoni wanafuatilia news za Kenya nikama hakuna kazi nyingine. They find satisfaction wakiona some negative thing ndio wacompare na shida zao. They can't run their own race. Wako hapa wakiangalia nini tunafanya ili wacopy paste ama kuharibu. Hukumbuki hawa ndio walikuwa wamekataa ku endorse Amina Mohammmed for AU chair na saizo hawakuwa na candidate. Mi mwenyewe nimelike tu news handle ya kampuni moja Kenya na sikumbuki niliona news za T.V siku gani mwisho. Nashangaa kuona Mtanganyika akifuatilia news za hapa nikama zinamhusu.
Tulikataa kumuunga mkono Amina Mohamedi kwasababu kulikuwepo na "Candidate" kutoka SADC countries. SADC first.
 
sana, na inakera. People should run their own race
Hahahaha, inakera kwasababu mnazidiwa kwa kila kitu, ile habari ya biggest Airport, biggest stadium, best roads, best president, best Hospitals, best, best, best, sasa hivi ni historia, ndio sababu "You are very sensitive and irritable. Hatutoacha kuwacharaza bakora.
 
Back
Top Bottom