Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si nynyi mlijifanya mnaweza kufanya biashara na uganda kuliko sisi hku mkijisifu eti mna ushauri mkubwa EA...
Lijengeni basi
Nimeuliza kuhusu lile bomba toka Lokachiar kwenda Lamu, mbona sisikii hata kuwekewa jiwe la msingi?
 
Ukiona unauma jinyonge
1575376923531.png
 
Nimeuliza kuhusu lile bomba toka Lokachiar kwenda Lamu, mbona sisikii hata kuwekewa jiwe la msingi?
Utajuaje wakati mlijifanya mnajua sana mkajitia mnaweza waganda wakawathamani..
Kilichobaki ni mwendo wa kuzindua tu
 
Back
Top Bottom