komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nimeuliza kuhusu lile bomba toka Lokachiar kwenda Lamu, mbona sisikii hata kuwekewa jiwe la msingi?Si nynyi mlijifanya mnaweza kufanya biashara na uganda kuliko sisi hku mkijisifu eti mna ushauri mkubwa EA...
Lijengeni basi![]()
Naona CRDB ikiingia kenya mwakani![]()
Ndio ile mido inikamu kantrii 😂😂😂Huu si ndio mji bora Africa?!! Vipi tena....
Yaani ukiwasoma hawa Wakenya humu unaweza kudhani Kenya ni bonge la nchi la first world fulani kumbe kanchi fulani kadunia ya tatu kalikojaa washamba kibaoNdio ile mido inikamu kantrii 😂😂😂
ha haa wazee wa high way..... road imekuwa mtoMvua imeenza kunyeesha Nairobi hata hatuoni wakitupa updates kama walivyo kuwa wakitupa updates za Dar es salaam
Unaweza dhani hawana world class slums 😂😂😂Yaani ukiwasoma hawa Wakenya humu unaweza kudhani Kenya ni bonge la nchi la first world fulani kumbe kanchi fulani kadunia ya tatu kalikojaa washamba kibao
Na mvua ndio kwanza zimeanza 😂😂😂ha haa wazee wa high way..... road imekuwa mto
watajutaNa mvua ndio kwanza zimeanza![]()
Nimeuliza kuhusu lile bomba toka Lokachiar kwenda Lamu, mbona sisikii hata kuwekewa jiwe la msingi?
Hawez kurudi mbona anajua vzr huyo sikuanza nae leo wala jana😀😀😀😀😀Akirudi nitag![]()
Wohuhuuuuu!!mtaomba sanaNani awekeze katika nchi isiyokua na amani?, hakuna mwenye uhakika nini kitatokea baada ya 2022, tayari mnaanza kutupiana matusi miaka mitatu kabla ya uchaguzi



Utajuaje wakati mlijifanya mnajua sana mkajitia mnaweza waganda wakawathamani..Nimeuliza kuhusu lile bomba toka Lokachiar kwenda Lamu, mbona sisikii hata kuwekewa jiwe la msingi?
🤣🤣🤣🤣😂😁😂